Posts

UTAMU WA JIRANI - 12

Image
utamu ulikole zaidi hadi yule mama alipotangaza kufika kileleni kwani alitoa yowe kali kisha akanyamaza kimya kama alivyofanya witi…..   endelea…   Sikujua kama atakuwa amezimia au lah cha zaidi nilichokuwa nakifikilia mda huo nitapata wapi msaada wa kumtoa nje kama alivyofanya yeye kwa witi   kichwa changu kilizidi kupata moto kwa mda huo nyoka wangu aliyejifanya ananguvu sasa amenisaliti na kuniacha pekeyangu nikihangaika nifanyaje”   mda ulizidi kuyoyoma   mamamwenyenyumba akiwa bado amejilaza pale kitandani bila kuonyesha hali yoyote   ya unafuu,   nikiwa katika hali ya mawazo mara simu ikaanza kuita bila kupoteza mda nikaichukua na kuipokea kisha nikaipeleka sikioni kusikiliza nani mpigaji wa simu ile kwani sikuangalia kwenye kioo wakati napokea,   “hallow”niliongea baada ya kuipokea   “dada muuza chakula hapa”alijibu   nakuja kukif…kabla sijamalizia sentensi ile mlango wangu ukagongwa harakaharaka nikatoka pale niliposimama na kuul...

UTAMU WA JIRANI - 11

Image
tukiwa katika hali ile ya kupeana mambo mara mlango wangu uligongwa kwa pupa hali iliyonifanya nitoke juu ya kifua cha mama yule na kuanza kuaufata mlango haraka ”   mama mwenye nyumba nae akakimbilia kupunguza sauti ya tv huku akionekana kujawa na wasiwasi ulioonekana dhahiri machoni mwake..   ..hofu ya kufumaniwa ilinijia haraka kichwani mwangu harakaharaka nikajitoa kwa yule mama na kwenda mlangoni kujua nani mpigaji wa hodi hiyo   “samahani kaka kwa usumbufu tunapitisha daftari la kuchangia fedha ya usafi” aliongea mdada mmoja kati ya wawili walio kuwa pembeni yake wakilitoa daftari hilo   “hapana shaka ni shilingi ngapi?”   “miatano”   baada ya dada yule kuniambia ni miatano ndiyo iliyotakiwa kwa ajiri ya mchango wa usafi nikaludi nyuma hatua chache na kuchukua suluari yangu niliyoilaza kitandani kisha nikapeleka mkono wangu nyuma ya suluari ile na kutoa noti mbili za elfu mojamoja nikailudisha moja mfukoni mle kisha nikaludi kwa haraka pale mlangoni ...

Makabila yanayokula Nyama za Binadamu

Image
UKIHADITHIWA tu na mtu yeyote unaweza kusema ni hadithi ya kutungwa, lakini ukweli ni kwamba kuna watu huko kwenye visiwa vya Papua New Guinea ambavyo vimezungukwa na bahari inayoitwa Bismarck Sea wanakula binadamu wenzao. Nchi hiyo yenye watu wapatao milioni 7.3 ina makabila mengi yanayotofautiana mila. Tena basi mengine yana mila mbaya na za kutisha na wanakiuka haki za binadamu kwa kiasi kikubwa. Katika mapori wanaoishi watu hao ni jambo la kawaida mtu ‘akionwa’ na wazee wa kimila kwamba ni mchawi, huteswa kwa kuchomwa na silaha zenye ncha kali lakini baya zaidi humalizwa kwa kukatwakatwa kisha kufukiwa kwenye shimo. Yapo makabila mengi katika visiwa hivyo ambavyo vipo mashariki ya mbali, karibu na Indonesia na Australia. Baadhi ya makabila yanaishi maisha duni na ya enzi ya ujima. Kuna kabila ambalo mwanamke akifiwa na mume, hukatwa kidole kimoja, akifiwa na mtoto, hukatwa kidole kingine, huwa hivyo hata ukifiwa watoto watano, basi vidole vitano vitakatwa. Wenyewe ...

UTAMU WA JIRANI - 10

Image
Ilipoishia…mamamwenyenyumba akaanza kuvua nguo yake ya juu na kubaki wazi kabisa akisingizia chumbani mle kuna joto..   endelea……   Mamamwenye nyumba aliendelea kuleta vituko mle chumbani kwangu kwani alifikia hatua akavua nguo zake zote na kubaki na kibikini kilichostili sehemu ya mbele kwa kitambaa chepesi chenye kuangaza kila kilichokuwa nyuma yake   “et handsome hauna cd za kikubwa maana ninahamu ya kuangalia cd zile”  aliongea mamamwenyenyumba huku akinyanyuka kuelekea sehemu ninapotunzia cd kisha akainama na kuacha sehemu zake nyeti wazi hali iliyoleta mtafaruku zaidi ndani ya boxer niliyokuwa nimevaa”   mamamwenyenyumba aliendelea kuinama kwa mitego huku akigeuka mara kwa mara na kunionyeshea tabasamu lililochanganyika na macho yaliyolegea kutoka kwa mama yule aliyeendelea kunipa mitego mikali   “mmh hb wangu kumbe nawe unaziangaliaga hizi haya nichagulie moja ambayo unaipenda sana”    aliongea mama yule bila haya na pale alipoona nipo kimy...