JIFUNZE KUJALI HAJA ZA MOYO ZA MPENZI WAKO



Habari yako msomaji wangu, kuna mambo ambayo yamekuwa ya kawaida katika mahusiano hasa katika ndoa,,unatakiwa kujua kuwa kuna wakati mpenzi wako anahitaji faraja na amani toka kwako,,NA wewe ndo tegemeo lake,,,,hakuna kitu kibaya kama kupuuzia uhitaji wa mpenzi wako,,,,,jifunze kumpa muda wako na kuwa msaada kwenye uhitaji wake,,,,,kuna wakati anahitaji uwepo wako,,maombi yako,,pesa yako au ushauri wako,,usimwache awe mpweke wala usimtenge,,tambua tabasamu lake linategemea na kujali kwako na upendo wako,,huyo ni wako na ni wajibu wako kuwa karibu nae.



Comments

Popular posts from this blog

SMS 47 ZA MAPENZI ZITAKAZO MNYEGEZA** MPENZI WAKO

KWANINI WADADA WENGI WAREMBO NA WANAOJIONA WAREMBO HUCHELEWA KUOLEWA,HUKOSEA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA?SOMA HAPA

HATUA ZA KUCHEZEA KIHARAGE NA KISIMI