NDOA SIO MASHINDANO,KUWA MAKINI



Maumivu ya kuingia kwenye ndoa na mtu ambae si sahihi ni makubwa kuliko uoga wa kukaa bila mume au mke,,,,,ndoa sio mashindano jipe muda,,,chekecha,,epuka kufata mkumbo na kudanganyika na mapambo ya dunia,,,pendo na ujiridhishe umependwa,,,,na hakikisha unaingia kwenye ndoa na mtu sahihi maana ukikosea kwenye swala la ndoa ni sawa na kujifungia kwenye mateso ya milele,,,,,,,kuishi ndani ya mateso ya ndoa bila furaha ni hatari kwa afya,,,,,ni bora kusubiri kwa muda mrefu kuliko kuingia kwenye ndoa na mtu ambae si sahihi.



Comments

Popular posts from this blog

SMS 47 ZA MAPENZI ZITAKAZO MNYEGEZA** MPENZI WAKO

KWANINI WADADA WENGI WAREMBO NA WANAOJIONA WAREMBO HUCHELEWA KUOLEWA,HUKOSEA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA?SOMA HAPA

HATUA ZA KUCHEZEA KIHARAGE NA KISIMI