WANAUME TU; MPE NAFAZI MKEO




Unaweza ukawa ni mwanaume mwenyw elimu kubwa kabisa Lakini ukawa huna uwezo wa kufafanua mambo au ukawa huna uwezo wa kuchambua fikra zako na wakati huo huo mkeo akawa ana uwezo mkubwa sana wa kushauri na uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo mbalimbali,,,,,lakini kutokana na hulka iliyojengeka kuwa mwanamke hawezi utabaki tu unaumiza kichwa kila siku kumbe mtu wa kukusaidie unae hapo hapo nyumbani kwako,,,So kila binadamu ana nafasi yake kupitia akili yake,,,,mpe nafasi mkeo anaweza kufanya mambo makubwa katika maisha yako.



Comments

Popular posts from this blog

SMS 47 ZA MAPENZI ZITAKAZO MNYEGEZA** MPENZI WAKO

KWANINI WADADA WENGI WAREMBO NA WANAOJIONA WAREMBO HUCHELEWA KUOLEWA,HUKOSEA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA?SOMA HAPA

HATUA ZA KUCHEZEA KIHARAGE NA KISIMI