Makosa Wanayofanya WANAUME Walio Kwenye Ndoa


1- Kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati

kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa

taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike

kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali

atajisikiaje.

8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

9- Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika

10- Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege

11-Kutofua boxer na socks zake hadi wife

awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi

Comments

Popular posts from this blog

SMS 47 ZA MAPENZI ZITAKAZO MNYEGEZA** MPENZI WAKO

KWANINI WADADA WENGI WAREMBO NA WANAOJIONA WAREMBO HUCHELEWA KUOLEWA,HUKOSEA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA?SOMA HAPA

HATUA ZA KUCHEZEA KIHARAGE NA KISIMI