Mchungaji Afrika Ya Kusini Aomba Mil 230 Kwa Ajili ya Kwenda Kuzimu Kupambana na Pepo la Corona


Mchungaji Mboro kutoka Afrika Ya Kusini ameomba kupatiwa Tsh Milioni 230 kwaajili ya safari ya kwenda kuzimu kwaajili ya kupambana na pepo ambae amesababisha Corona Virus. 

Mchungaji Mboro anasema haina haja ya kutumia gharama katika tafiti za kisayansi kwani sababu ya kile kinachotokea kwa sasa ni pepo mchafu ambae yupo kuzimu.

Comments

Popular posts from this blog

SMS 47 ZA MAPENZI ZITAKAZO MNYEGEZA** MPENZI WAKO

KWANINI WADADA WENGI WAREMBO NA WANAOJIONA WAREMBO HUCHELEWA KUOLEWA,HUKOSEA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA?SOMA HAPA

HATUA ZA KUCHEZEA KIHARAGE NA KISIMI