Virusi Vingine Vipya vyaua Mmoja China, 32 Wapimwa

Mtu mmoja ambaye alithibitishwa kuwa na maambukizi ya Hanta Virus amefariki dunia akiwa kwenye basi katika Jimbo ya Yunnan. Abiria wengine 32 waliokuwa kwenye basi hilo wamefanyiwa vipimo kuona kama wameathirika. 

Kifo hicho kimekuwa gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutokana na wengi kukifananisha na Corona Virus, ambayo pia ilianzia China. 

Imeelezwa kuwa, Hanta Virus husambazwa na Panya wenye Virusi hivyo na ni vigumu kwa watu kuambukizana. 

Kwa mujibu wa Kituo cha kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Marekani (CDC), mtu anaweza kuambukizwa pale anaposhika macho, pua au mdomo wake baada ya kushika haja, mkojo au mate ya Panya.

Comments

Popular posts from this blog

SIMULIZI……..SHANGAZI NAE ANATAKA – 10

KITUNGUU SAUMU, TANGAWIZI NA ASALI KIBOKO YA MISULI YA UUME SOMA HII

SHANGAZI NAE ANATAKA-02