Wanajeshi 92 Wauawa na BOKO Haram....



Rais wa Chad, Idriss Deby amesema Wanajeshi 92 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulio lililofanywa na Boko Haram katika eneo la Boma na kudumu kwa takriban saa 7 

Ametaja shambulio hilo kuwa baya zaidi kutokea nchini humo na kwamba hiyo ni mara ya kwanza kwa Chad kupoteza Wanajeshi wengi ndani ya siku moja 

Imeelezwa kuwa vikosi vilivyotumwa kusaidia Jeshi navyo vilishambuliwa na Boko Haram, ambao walifanikiwa kuchukua silaha za Jeshi. Aidha, magari 24 ya kijeshi pia yameharibiwa vibaya katika shambulio hilo 

Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa (UN), mashambulizi ambayo yamefanywa na Boko Haram kwa muda wa miaka 10 yamegharimu maisha ya watu 36,000 na kusababisha wengine Milioni mbili kukimbia makazi yao

Comments

Popular posts from this blog

SMS 47 ZA MAPENZI ZITAKAZO MNYEGEZA** MPENZI WAKO

KWANINI WADADA WENGI WAREMBO NA WANAOJIONA WAREMBO HUCHELEWA KUOLEWA,HUKOSEA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA?SOMA HAPA

HATUA ZA KUCHEZEA KIHARAGE NA KISIMI