Davido Kathibitisha Mchumba wake Kapona Corona


Mwimbaji Star kutokea Nigeria Davido amethibitisha tena kuwa mchumba wake Chioma aliyekutwa  na virusi vya corona amepona baada ya kufanyiwa vipimo mara mbili.

Kama utakumbuka hapo awali Mchumba wa Davido ( Chioma ) alichukuliwa vipimo March 25 na kugundulika kuwa alikuwa amepata maambukizi kisha akatengwa kwaajili ya uangalizi zaidi.

Baada ya siku 25 kupita Davido amekuja kuthibitisha kuwa mpenzi wake Chioma amepimwa na kukutwa hana tena ugonjwa wa Corona.

Comments

Popular posts from this blog

SMS 47 ZA MAPENZI ZITAKAZO MNYEGEZA** MPENZI WAKO

KWANINI WADADA WENGI WAREMBO NA WANAOJIONA WAREMBO HUCHELEWA KUOLEWA,HUKOSEA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA?SOMA HAPA

HATUA ZA KUCHEZEA KIHARAGE NA KISIMI