Iran Yaendelea Kuitisha Marekani Yarusha Setalaiti ya Kijeshi Angani


JESHI la walinzi wa kimapinduzi nchini Iran limesema limepeleka setalaiti yake ya kwanza ya kijeshi katika mzunguko wa dunia.

Wataalamu wamesema Iran imezindua kile walichokiita mpango wa siri wa safari za anga za juu ambao unaanza wakati kukiweko mivutano baina ya nchi hiyo na Marekani.

Hata hivyo, hakuna taarifa iliyotolewa mara moja na chombo huru kuthibitisha kurushwa kwa setalaiti hiyo ambayo jeshi la ulinzi wa kimapinduzi limeiita ‘Nuru”.

Wizara ya mambo ya ulinzi ya Marekani, Pentagon, ambayo imekuwa ikisisitiza kwamba hatua kama hiyo ya kurusha setalaiti inaisogeza mbele Iran katika mpango wake wa kutengeneza makombora ya masafa marefu, haijatoa taarifa yoyote.


Comments

Popular posts from this blog

SMS 47 ZA MAPENZI ZITAKAZO MNYEGEZA** MPENZI WAKO

KWANINI WADADA WENGI WAREMBO NA WANAOJIONA WAREMBO HUCHELEWA KUOLEWA,HUKOSEA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA?SOMA HAPA

HATUA ZA KUCHEZEA KIHARAGE NA KISIMI