Jamani Mume Wangu Anataka Staili Za Mapenzi Za Ajabu Ajabu, Zinaniumiza, Naomba Ushauri Nifanyeje ?



Mimi ni mama wa miaka 36, nina watoto watatu, nina miaka tisa kwenye ndoa, tulipoona na mume wangu tulikuwa tukifanya mapenzi style za kawaida tu, tunabadili style lakini ni zile za kawaida 

Umefika miezi sasa mume wangu amebadilika sana, yani hatulii yani mimi nayeye hatukai nusu saa bila ugomvi, kitu kidogo tu, hasira kwangu na anapeleka hadi kwa watoto wangu, yani hadi wanamuogopa sasa hivi, wakimuona tu! Wote wanaenda kulala,
Hadi sasa nahisi mume wangu anamwanamke nje, tena ni Malaya kabisa, maana mume huyu huwa nakaa namfikiria naona kama wamenirogea vile, hajui kubembeleza kwenye mapenzi, yeye ni kuamrisha tu, tofauti na zamani, hata mimi nikimbembeleza labda nimshike shike sehemu ambazo najua akishikwa anafurahi, nimnyonyenyonye hapa na pale, zamani alikuwa anapenda sana. Siku hizi hataki kabisa, nikianza tu, anasema ah! Nimechoka mimi, kwanza nimeshaoga unanipaka matemate yako, wakati bafu liko hapo chumbani angeweza kuoga tena,

Sasa kuna kipindi nami niliamua kukaa kimya, nikawa nasubiri hadi yeye aanze, lakini sasa style alizokujanazo sasahivi mimi siziwezi, yani sio za kawaida, nina mwili mkubwa, nilizaa kwa operation, nina kovu tumboni, siwezi kujikunja kunja Napata maumivu, sasa yeye utakuta ananikunja kama samaki, yani nabanwa nakuwa mdogo, nalia sana, sio kwa raha ila ni kwamaumivu, na hata nikilia anasema nisubiri hadi amalize ndio aniache, akiniacha tu! Ujuwe lazima nitalala hata siku mbili, naumwa sana kiuno,

Kuna siku nilimuuliza kwanini ananifanya kama ananibaka vile, akasema akifanya style za zamani hasikii raha kabisa, kuna kipindi alianza kuniambia kuwa anataka anifanye nyuma, sikuamini masikio yangu, nililia sana, nikamwambia ndoa na ife, narudi kwetu, akanisihi nibaki, nashukuru hakurudia tena kutamaka ushenzi huo,

Style zake za sasa hivi sijui anazitoa wapi, yani sasahivi akiniambia kama anahitaji tu! Basi naweza meza hata dawa ili nijifanye naumwa, napoteza furaha kabisa, yani hawezi kabisa kunifanya kawaida, naombeni mnishauri nifanyaje, maana ni kweli kwa mwanamke yeyote Yule style ninazofanywa mimi, lazima angelia, mimi hadi huwa nakwenda hospitali, ila nikifika sisemi kama nimefanya style mbaya, huwa nadanganya maana naona ni aibu, nitamuaibisha mume wangu na mimi pia.

Comments

  1. WASILIANA NA DR FADUMI kupitia Barua Pepe: (spiritualsolutionboxstopcentre@hotmail.com)
    Whatsapp: +1 (405) 829‑4504

    Hamjambo marafiki, niko hapa ili kusema ushuhuda wa kustaajabisha na wa kustaajabisha kuhusu mtumaji mahiri aliyenisaidia. Kumrudisha Mpenzi wangu ndio sikutarajia na sikuwahi kufikiria. Mimi na Mpenzi wangu tumeoana kwa miaka tisa na tunaishi kwa furaha lakini ghafla alibadilika kabisa na kuniacha na sikujua kinachoendelea, nilijaribu kumuuliza lakini alikataa kuniambia nini. tatizo lilikuwa, na kadiri muda ulivyozidi kwenda akatafuta talaka. Nilikuwa na wasiwasi na kuchanganyikiwa, na nilijitahidi kumrudisha lakini haikuwa rahisi, nilidhani matumaini yote yamepotea, siku moja nilipokuwa nikitafuta kwenye mtandao, niliona mtu akishiriki ushuhuda jinsi mtangazaji mahiri anayeitwa Dr Sunny ambaye alimsaidia kumrudisha EX WAKE. Sijawahi kuamini katika uchawi katika maisha yangu yote au uchawi kwa sababu sikuwahi kufikiria kuwa utafanya kazi lakini nilijaribu kumpa mtu huyu nafasi na kwa mshangao mkubwa, aliroga ili kumrudisha Mpenzi wangu, Mara moja akatupa uchawi. aliniambia kuwa kabla ya JUA KUTUA, EX wangu atakuja Kurudi nyumbani. kweli kabla ya jioni hiyo alirudi na kuomba msamaha na kuwaambia watoto amewakumbuka. hii imenifanya nimwamini DR SUNNY, leo tumerudi pamoja katika Nyumba yetu nzuri na watoto. Asante Dr Sunny Tumefurahi pamoja tena na natumia fursa hii kumwambia mtu yeyote anayepitia hali kama hiyo au kama unahitaji Tiba kuwasiliana naye kwa
    WASILIANA NA DR Sunny : Barua pepe: (spiritualsolutionboxstopcentre@hotmail.com)
    Whatsapp: +1 (405) 829‑4504
    WhatsApp:+234 916 2183 225
    Programu ya mawimbi : + 1 (405) 829‑4504
    Programu ya Zangi: 10-0704-4693

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

SIMULIZI……..SHANGAZI NAE ANATAKA – 10

SHANGAZI NAE ANATAKA-02

SMS 47 ZA MAPENZI ZITAKAZO MNYEGEZA** MPENZI WAKO