Rais wa Sierra Leone ajiweka Karantini, mlinzi wake aambukizwa Corona



Rais wa Sierra Leone Julius Maada Bio amejiweka Karantini kwa siku 14 baada ya mlinzi wake kubainika kuwa na maambukizi ya virusi vya Corrna.

Msemaji wa ofisi ya rais amewaambiwa waandishi wa habari kuwa rais wao ana afya njema lakini atakuwa akifanya kazi zake akiwa nyumbani na hakuna mwanafamilia yake aliye athirika na virusi hivyo hadi sasa.

Katika ukurasa wake wa Twitter rais Bio ameandika ” Serikali yangu itaendelea kuwa na uwazi kwa wananchi ambao wanatakiwa kuendelea kujikinga kwa kufuata maelekezo yote”

Nchi ya Sierra Leone hadi kufika siku ya leo ina visa vya wagonjwa 43 wa covid 19, sita wamepona na hainavifo.

Comments

Popular posts from this blog

SMS 47 ZA MAPENZI ZITAKAZO MNYEGEZA** MPENZI WAKO

KWANINI WADADA WENGI WAREMBO NA WANAOJIONA WAREMBO HUCHELEWA KUOLEWA,HUKOSEA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA?SOMA HAPA

HATUA ZA KUCHEZEA KIHARAGE NA KISIMI