Mwanaume Kama Huna Pesa na Unataka Usife Mapema, Usifanye Hivi




Kama wewe ni Mwanaume na unamalengo ya kuoa ila huna Pesa, hakikisha usioe mwanamke kisura.

Kila mwanaume anatamani kumiliki mwanamke kisura kiasi kuwa kila atakapokuwa anapita haoni shobo kumtambulisha mkewe.

Tatizo linakuje pale huna pesa lakini unataka uweke mrembo ndani. Ndugu yangu, usijidangaje hata siku moja kuwa wapo wanawake wasiopenda pesa na wanapenda maisha ya shida. Hata kama wewe ni Handsome kiasi gani, hakuna mwanamke aliye tiyar kuishi maisha magumu na wewe kisa uhandsome wako. Labda yeye akuowe wewe. Na ukiolewa zipo gharama zake.

Sasa ukitaka kufa kwa presha na ma stress, kaowe mwanamke mrembo na huku unajijua ni kapuku kama mimi apa.

Comments

Popular posts from this blog

SMS 47 ZA MAPENZI ZITAKAZO MNYEGEZA** MPENZI WAKO

KWANINI WADADA WENGI WAREMBO NA WANAOJIONA WAREMBO HUCHELEWA KUOLEWA,HUKOSEA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA?SOMA HAPA

HATUA ZA KUCHEZEA KIHARAGE NA KISIMI