Shemeji hiyo mitego yako dawa Yako iko Jikoni
sana amani ndio maana huwa najisikia vibaya sana ikitokea nimemkwaza mtu wangu yoyote wa karibu kwani najiuliza atanisamehe kweli kwa hili kosa nililomfanyia? Historia ya maisha yangu imenifanya niwe na moyo huu wakutopenda kumkwaza mtu kwani nimefadhiliwa sana na kaka yangu,nimepewa kila kitu muhimu ambacho kijana anastahili awe nacho kama vile simu nzuri,pesa ya matumizi achilia mbali ada ya masomo ya shule za private nilizosoma kuanzia kindergarten mpaka nimefika chuo kikuu,Kwa kweli kaka yangu ni mtu wa pekee sana maishani mwangu na hakika siwezi kulipa fadhila zake. Ameniamini sana kiasi cha kuwaananiachia gari lake anaposafiri niwehuru kulitumia muda wowote nitakao lakini kwa bahati mbaya moyoni nimekuwa mwenye huzuni sana kwani mke wa kaka yangu yaani shemeji amekuwa tatizo kila kaka akisafiri maana vituko anavyonifanyia sio siri nahisi kutamani kuhama kwake pasipohata kujua nitaenda wapi. Shemeji anathubutuje kunitolea chozi akinililia eti anataka niwe namimi kimapenzi wak...