Posts

Showing posts from August, 2019

HIVI..!,,,MWANAMKE KUMKUBALI MWANAUME KWA UHARAKA ZAIDI NI DALILI YA UMALAYA

Image
Namshukuru Mungu kunifanikisha hadi kuona jua la leo, na namshirikisha kila jambo nifanyalo. Karibuni tukumbushane machache juu ya mapenzi ambayo kila siku tumekuwa tukikumbana nayo, iwe asubuhi, mchana, jioni na usiku. Katika sekunde, dakika ama saa yeyote popote pale duniani.  Naweza kutafsiri mapenzi kama hisia nzito zimuingiazo mtu pale moyo wake unapozama katika ulimwengu wa huba kwa yule ampendae, akajikuta kwa lazima isiyoweza kuvumilika ama kukwepeka akampenda mwenzake.  Nadhani hakuna mtu asiyejua kupenda, ni wazi hata wewe unajua kupenda na ulishawahi kupenda na kupendwa, kama bado ipo siku mungu atakujaalia utampata umpendaye na akupendaye. Usikate tamaa mwombe mungu atakusaidi yeye ndiye anayejua mume gani au mke gani atakupa.  Na kama yupo asiyeweza kupenda basi huenda ana matatizo kisaikolojia na namshauri aende kwa wataamu wa mambo ya saikolojia waliopo karibu nae waweze kumshauri cha kufanya juu ya tatizo lake.  Kuna Makala iliyopita nilizungumzia jinsi mtu anapo

LADIES,,YOU MIGHT TRY TO LOVE MENS OF THIS KIND

Image
Choose to love a man who loves her mum. He has been brought up well. Choose a man who loves to read, and not just for exams. He is wise and deep. Choose a man who is funny. You will never be bored. Choose a man who treats strangers and the less privileged with dignity. He has a kind heart. Choose a man who listens. You will be understood. Choose a man whose idea of fun is constructive, not endless drinking and clubbing. He is mature. Choose a man who wants to start a family. Your time will not be wasted on pointless dates. Choose a man who respects his father no matter how his dad is. He has learned true manhood. Choose a man who doesn’t insult his ex or your ex even if the break up was messy.

NASHINDWA KUMFIKISHA KILELENI,NAKOSA FURAHA NAOMBENI MSAADA

Image
Watupipo, nimekuwa kwenye mahusiano yangu kwa mwaka mmoja hivi sasa.  Tunapendana sana lakini binafsi ninahisi nina tatizo ambalo linasababisha mpenzi wangu asifike kileleni. Sijawahi kumuona akimaliza mchezo na kutoa wazungu hata mara moja.  Ninahisi labda tatizo hili linasababishwa na mimi mwenyewe kwa kukosa ufundi kitandani, lakini anasema kwamba yeye yuko sawa na anafurahia tendo na kwamba kwake hakuna tatizo.  Nimekuwa nikisoma kuhusu tatizo la wanawake kushindwa kufikisha wenzi wao kileleni na nimepagawa kuhusu jinsi ya ku-deal na hili tatizo.  Sijui naanzia wapi.  Nimefikia hatua ya kukosa confidence kitandani na kujiona pengine mimi ndio kikwazo kutokana na kukosa mautundu.  Kuna wakati tunakuwa katikati ya tendo na mara nyingine anaamua kuahirisha. Nikimuuliza anasema tayari amemaliza au saa nyingine anasema kuna kitu amekumbuka. Najisikiaga vibya sana.  Mpenzi wangu amewahi kuwa kwenye ndoa, ila nina amini kwamba hani-cheat maana muda mwingi tuko pamoja na hakuna m

WOMEN OF THESE 10 CHARACTERISTICS ARE HIGHLY DESIRABLE

Different people find different characteristics attractive. Some go for laughter, a voluptuous build, intelligence, etc. etc. Besides physical appearance, men fall in love with a lot of other things that a woman possesses. There are a few characteristics that are related to your soul that any decent man will love. Check out the list we made: 1. Her compassion and ability to nurture Compassion and kindness are sure to attract men. It’s hard to find others who are genuinely compassionate. Those who are naturally affectionate are attractive to many. A man will go for a woman who lights up every room she is in. It is something that a woman can possess that is very hard not to be attracted and blinded by! 2. Her ambitions and drive A girl who is aware of her goals and the path she will follow to reach them is very attractive. She doesn’t take any nonsense and does what needs to be done in order to get where she wants to go. She’s great in a relationship because she d

DALILI KUU NNE ZA MPENZI ASIYEKUWA NA MAPENZI YA DHATI

Image
WIKI iliyopita tuliona baadhi ya dalili ambazo zinaweza kukupa mwelekeo wa kujua kama mpenzi huyo ameumbwa kwa ajili yako, ama la, lakini wiki hii tunaangazia na kuzijua walau dalili Nne za Mpenzi ambaye hana mapenzi ya dhati nawe. Ifahamike kuwa hakuna asiyehitaji mapenzi ya kweli ingawa kuna wapenzi wanaothamini penzi wmenzi wake anapokuwa na pesa au kazi Fulani na baada ya hapo hujitoa katika mahusiano hayo hali ambayo huleta kwikwi katika mtima wa moyo wa anayefahamu kupenda. I 1. Muongo Hakuna asiyefahamu athari za mtu muongo katika jamii, vivyo hivyo ndivyo ilivyo katika mapenzi uongo ni sumu mbaya na nidalili moja wapo ya kuonyesha kuwa mpenzi wako hana penzi la dhati nawe na huyo aweza kukuletea athari za kufikiri hapo baadae endapo hautakuwa makini nae. Hivi karibuni nilikuwa mjini Mbeya nikipata chakula katika moja ya mgahawa uliopo mkabala na Posta, katika mgahawa huo nilikutana na vijana wawili na msichana mmoja wakiwa wanakula chakula ambapo kati ya kijana mmoja alio

WAPENZI FANYENI HAYA KUWAEPUKA WAMBEA KWA PENZI LENU

Image
Sio mbaya kwa marafiki wa karibu au ndugu na jamaa kufahamu kushirikiana nanyi katika mapenzi yenu kama vile wakati wa sherehe au msiba. Pia sio mbaya kujuliana hali na kutambulisha mambo ya msingi yanayoendelea katika mahusiano yako wewe na mpenzi wako. Hata hivyo kuna wakati watu wengine wa pembeni, wawe majirani, ndugu, wazazi au marafiki wanaweza kuwa ‘sumu’ ya mahusiano yako, hasa pale unapowategemea sana kutoa msaada, maoni au maelekezo katika maisha yako ya mapenzi. Makala hii inaeleza mambo ya msingi unayoweza kufanya ili kupunguza uwezekano wa rafiki, ndugu, jamaa, au wazazi kuwa ‘sumu’ ya mapenzi yako. 1. Udhibiti wa taarifa kwa wengine: Kadri unavyoelezea mahusiano yako kwa watu wengine ndivyo unavyowapa nafasi watu kutoa maoni, na hata kudhani kuwa wana dhamana ya kukuelekeza unavyotakiwa kuishi na mwenza wako. Hivyo basi, chukua muda wa kutosha kutafakari na kufanya uchunguzi kuhusu maswala yako ya mahusiano kabla haujaanza kutafuta maoni, ushauri kwa watu wengine. Ni bo

MBINU ZITAKAZOKUSAIDIA KUDUMISHA MAPENZI UWAPO NA MPENZI ANAYEISHI MBALI

Image
Ni kwa kiasi kidogo sana mapenzi ya wapenzi wanaoishi mbalimbali hudumu katika uhusiano wao kwa muda mrefu. Hiki kinaonekana kuwa ni kitendawili kigumu sana kwa wapenzi wengi kuvumiliana kwenye uhusiano bila kusalitiana,,,ninapozungumzia umbali namaanisha wilaya na wilaya, wilaya na mkoa au mkoa na mkoa au nchi na nchi au bara na bara. Ninaamini miongoni mwetu ama tumeshuhudia au kusikia au kuona au kuadithiwa kuwa kuna mwanaume au mwanamke ambaye alikuwa na mpenzi, mara mpenzi wake akapata nafasi ya kwenda kusoma mkoa mwingine au nchi nyingine lakini mwisho wa siku ukasikia wapenzi wale wamemwagana baada ya mmoja kupata mpenzi mwingine huko aliko. Inawezekana mpenzi wako alihamishwa kikazi nje ya wilaya uliyopo lakini mwisho wa siku ukabaini kuwa mwenzio amepata mtu mwingine na mapenzi kwako yameanza kupungua au yamepungua kama siyo kwisha kabisa. Najua wengi huwa mnajiuliza ni nini huwa kinachangia? Zifuatazo ni baadhi ya sababu; Uaminifu Kutokuwa na uaminifu miongoni mwenu, k

MPENZI/MKE BORA HUWA NA SIFA HIZI

Image
Wapenzi wengi ambao wanapendana leo mapenzi yao hayadumu kiasi cha kubatizwa jina la utamu wa BIG BOM,, yote hii inatokana na ukweli kwamba elimu ya mapenzi ambayo ni kama chakula kwa binadamu haitolewi kwa ufasaha kuimarisha upendo na mapenzi baina ya Wapendanao…. Pia katika Jamii zetu imekuwepo dhana potofu kwamba kumfundisha mtoto mapenzi ni kumharibu,,,,,jambo ambalo si kweli ila inategemea mtoto huyo anafundishwa nini na ni kwa wakati gani??? Lakini cha kushangaza zaidi hata watu wazima ambao ni wadau wa mapenzi hawayajui, matokeo yake wanajiingiza kwenye uhusiano wakiwa bumbumbu na hivyo wanaambulia kuteswa na changamoto zinazowakabili. Leo tutajifunza kwa undani sifa za mpenzi bora(wife material) ili tuweze kuwatambua wapenzi wetu kabla ya kuwapa mioyo(kujiingiza kwenye bahari ya malavidavi) na utu wetu. Sifa hizo ni hizi zifuatazo; 1. Anajitoa kwa ajili yako Mpenzi bora ni yule ambaye hatangoja kujua nini unahitaji yaani hana sababu ya kusubiri kuombwa ndiyo atoe msaada.

MBINU ZITAKAZOKUSAIDIA KURUDISHA MAPENZI KWA EX-WAKO

Image
Kuvunja mapenzi au mahusiano siku hizi limekuwa ni jambo la kawaida sana….Uvanjaji wa mapenzi kwenye Jamii yetu umekuwa ukichangiwa na uwepo wa vitendo mbalimbali ya kama vile Michepo a.k.a nyumba ndogo,,,ila kwa leo tukiwa tunakutana kwenye ulimwengu maridhawa wa mahaba nataka kuzungumzia juu ya issue ya kurudiana na EX wako ambaye yawezekana ulivunja mapenzi naye kutokana na tamaa tuu mbali mbali za kidunia kaa vile tako la Amina lilikuvutia sana hadi ukamuona yeye ni boya na hafai tena kisa ni mic/mwembamba na baada ya kuchukua uamuzi wa kutengana naye ukaja shituka kuwa ulifanya makosa…, Basi twende sambamba haya ni baadhi ya mambo muhimu yatakayokusaidia kulirudisha Penzi ulilolibwaga sababu ya tamaa za kidunia 1.Yatambue makosa yako Baada ya kuelewa ni wapi ulikosea badi usisite kuwa muwazi kuzieleza kasoro zako kwa ex wako na unapokuwa unaueleza ukweli huo watakiwa jitahid kupunguza masihara na kuwa na nia ya kweli kuhakisha ex wako hata akiungalia uso au hata mwili wako uon

Kim Nana Afunguka “Mimi Sijaachika na Wala Siwezi Achika Kirahisi Hivyo”

WALE mnaopenda kufuatilia maisha ya watu mpo? Haya sasa muuza nyago maarufu Bongo Lilian Kessy ‘Kim Nana’ amesema kuwa yeye kuachika siyo rahisi kama watu wanavyodhani au wanavyoomba iwe kila siku anajiamini ni msichana mzuri. Kim Nana aliiambia Mikito Nusunusu kuwa mikwaruzano katika uhusiano lazima itokee hivyo hata yeye ametofautiana kidogo tu na mpenzi wake Tonny Albert ’T Bway’ lakini siyo kama wameachana kama ambavyo watu wanazusha na kibaya zaidi ni kwamba asilimia kubwa ya watu wanapenda kusema mambo ambayo hawana uhakika nayo.  “Jamani eti nimeachika na kipigo juu, mimi siwezi kuachika kirahisi hivyo kama wanavyofikiria najiamini sana, sasa watu wanapenda kuongeaongea tu mambo wasiyokuwa na uhakika nayo.“Kutofautiana katika uhusiano ni jambo la kawaida sana tu, kwa sababu hata hao wanaoongea kuhusu mimi huwa wanagombana na watu wao wakaribu,” alisema.Nana haachiki kirahisi.

AFTER CHEATING,REGAIN LOVE STRONGLY

Image
Sometimes, whether you want to or not, you may end up cheating on your partner. At times like these, regaining trust in a relationship takes a lot of time and patience. But as long as you communicate with each other about your thoughts and learn to be frank, your relationship would only grow stronger with time, and so would the trust in the relationship. Three steps to building trust on a relationship If you want to know how to build trust in a relationship, learn to be frank with your partner. Your partner is your lover, but they’re also supposed to be your best friend, a person who knows you and understands you better than anyone else in the whole world. Use these three steps to build trust in a relationship and it’ll go a long way in creating a happy relationship. #1 Talk about the long term Are you looking for a serious relationship with your lover? If you are, you’re obviously in for the long haul. So make plans for it too. Talk about building a bigger house, having a pet dog

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KUPITA KIASI

Image
Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida nyingi, lakini linapokuja suala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta madhara kwa watu wanaoendekeza sana ngono. Kuna watu ambao hawezi kulala bila kufanya mapenzi na huku wengine wakikosa uwezo wa kuvumilia hata kwa siku mbili au tatu. Mtu anaweza kuwa na mke na kujikuta kila siku anatumia ‘chakula cha usiku’kwa sababu tu hakuna wa kumkataza na kwamba ana haki ya kufanya hivyo kwa sababu amelipa mahari. Hilo linaweza kuwa jambo jema kwa upande mwingine, lakini uchunguzi unaonyesha kuwa watu wengi kati ya watu wanaolalamika kupoteza hisia zakimapenzi hutoka katika kundi la watu wapenda ngono. Pamoja na tatizo hilo, yapo madhara mengine mengi ambayo mtu asiyekuwa na kiasi katika tendo la ndoa anaweza kukabiliana nayo, hivyo ni vema tukajifunza ili tusiwe watu wa kuendekeza miili kiasi cha kulazimika kufanya mapenzi kila tunapokutana hata kwenye nguzo ya umeme na chini ya miti kwa vile tu miili imetaka kufurahika.

Njia nyepesi na isiyo na gharama ya kuongea na mpenzi aliyekasirika

SWEAT LOVE MESSAGE SPECIAL TO YOUR PARTNER

Image
&

MAMBO YATAKAYOSADIA KUIMARISHA MAHABA KWA MPENZI WAKO

Image
Mapenzi huwa yanajegwa kwa hisia,,hisia hizi huwa ziko kati ya wawil wapendanao ambapo mwaweza kuwa Mume na Mke au hata Wapenzi wa kawaida….,Siku ya leo nataka tuyajadili mambo muhimu ambayo husaidia kudumisha husia hizo za mapenzi na kuwafanya wapendanao kuonana kaa Wapya kwenye mapenzi kila kukicha………………….Haya hapa ni baadhi ya mambo matamu ya kuongeza mahaba kwenye Ndoa/Mahusiano. >Usaidizi wa Kazi nyumbani Jambo hili huwa na thamani zaidi kwa Wanawake wanapofanyiwa usaidizi kwenye baadhi ya shughuli za nyumban kaa vile kuosha vyombo,usaf wa nyumban n.k,,,ufanyaji wa shughuli kama hizi huongeza mwamko wa mwanamke na kufanya ajione kuwa yeye ni mtu wa thamani ndani ya nyumba. >Kujitoa Mwanaume unapokuwa umedhamilia kuingia kwenye mapenzi watakiwa kujitahidi kujituma kutimiza mambo ya mwenza wako hata kwa kiasi kidgo ili kumfanya na yeye ajione kuwa ni mtu wa thamani kwenye penzi lenu. >Ucheshi Mapenzi sio kuniniana kaa mwalifu na afande magereza bali mapenzi huhitaji

MWANAUME;TUMIA MBINU HIZI KULILINDA PENZI LAKO WAKATI WA DHIKI

Image
Leo nimekuletea mambo mazuri kwa ajili ya kudumisha mahusiano ,, hasa mke na mume au wachumba nk. Kwanza kabisa, wanawake wana akili sana katika kututawala sisi wanaume na wana uelewa na creativity kubwa sana ya kukusoma vizuri mwanaume kila unachofanya na kila unakokwenda na issues zako zote. Hata kama hakwambii, elewa anajua kila kitu, anakustahi tu. Kujiamini ni nguzo muhimu sana kwa sisi wanaume kumkalisha mwanamke chini, awe billionea, awe professor, awe na cheo nk kwako si kitu kama mwanaume unayejiamini. Asijue kitu fulani hujui, asijue kitu fulani huna, asijue kama umeshindwa mahali. Wanawake hutumia “failures” za mwanaume kuwa “opportunities” kwao. Atafanya ya ajabu kwakuwa anajua huwezi kitu fulani, huna kitu fulani, huna uwezo fulani. Hata kama ikitokea ndani hakuna kitu, mwambie tu ‘kuna mtu nimemwelekeza ataleta hapa nyumbani’. Hata kama huna hela mwambie tu ‘kuna jamaa anatuma sasaivi kwenye mpesa’. Hata kama huyo mtu asipoleta, huyo mtu asipotuma kwenye simu, we ka

REASONS ABOUT WHY ALWAYS YOU MIGHT BE FALLING IN LOVE TO WRONG MENS

Image
Dear lady, you see yourself as a good woman but you wonder why you keep attracting the wrong men. Below could be possible reasons why “You go to the wrong places” Good men will be found in specific places. You are your environment, are you looking for a husband material man in places that are not for men serious about their future? “You don’t know what you want” When you don’t know the kind of family you want in future and the man suitable for that future, you will fall for any man, most often, the wrong men because the right men know what they want and want a woman that knows what she wants. cheating-husband “You know what you want but you betray yourself” Perhaps you know the qualities you want in a man but you compromise on qualities that you must not. You justify yourself when you choose wrong men convincing yourself you will change him. “You say yes too easily” You quickly say yes to the first man who shows interest in you. Your heart is too precious why do you g

DALILI ZA MIMBA CHANGA

Image
MWANAMKE anapopata ujauzito kwa kawaida huwa anaanza kuona dalili ambazo si za kawaida. Na ni wakati huo ambao ni muafaka kwake kuanza kuuchunguza mwili wake. Maumivu kwenye matiti : Hii ni dalili ya kawaida ya ujauzito ambapo nguvu za homoni mwilini huongezeka wakati yai linavyopata  “rutuba” , jambo ambalo huongeza wingi wa damu na kuyafanya matiti ya mwanamke kuvimba na kuwa makubwa isivyo kawaida. Maumivu mwilini : Utaanza kusikia maumivu kama vile unataka kuingia katika siku zako. Kwa kawaida hali hii hutokea wakati yai likiwa linasafiri kwenda katika chumba cha mimba. Hivyo, hali hiyo husababisha sehemu hiyo itanuke taratibu na kusababisha maumivu hayo. Kutokwa damu bila kutegemea : “Wanawake wengi hufikiria kutokwa na damu kidogo ni dalili ya kuwa katika siku zao. Lakini, katika hali halisi, kutokwa damu kusikotegemewa, huwakumba  asilimia 25 ya wanawake  wakati wa kurutubika kwa yai,” iwapo utaona hedhi yako inakuwa fupi au inafanyika katika hali ambayo si ya kawa

MAANA HALISI YA NENO "NDOA"

WANAUME HUPENDA WANAWAKE WENYE TABIA HIZI WAKATI KUINGIA KWENYE NDOA

Image
WANAUME HUPENDA KUOA MWANAMKE WA AINA HII Habari za wiki hii mpenzi msomaji. Mimi namshukuru Mungu kwa kuweza kunikutanisha na nyinyi kupitia safu hii ambayo pamoja na mambo mengine nazungumzia juu ya mada mbalimbali ambazo zinagusa maisha yetu ya kila siku. Wiki hii nitazungumazia juu ya aina ya wanawake ambao wanaume wengi hupendelea kuoa. Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali huchukua muda wao mwingi kuchunguza mambo mengi juu ya wake ambao wanadhani kwamba wanaweza kuwa pamoja kwa kipindi chote cha maisha.   Wanawake wengi wanajisahau na kudhani kwamba kitu kinachoweza kuwafanya wakapata wachumba ni uzuri hivyo kupoteza muda wao kujichubua na kujiremba ili wawavutie wanaume bila kujua kwamba kuolewa ni zaidi ya uzuri.   Hali sasa hivi imebadilika ni tofauti na kipindi cha nyuma ambapo ukiwa na sura nzuri na umbo la kuvutia basi una asilimia 100 za kuolewa. Utafiti ambao nimeufanya unaonesha kwamb

HOW TO CREATE FAITH/TRUST IN YOUR RELATIONSHIP

Image
Most people are afraid of revealing their true inner sides in love. At first, the guy and the girl are scared to kiss, and then they’re scared to go to second base, and then to the third. Once they get past that, life gets a bit manageable and both of you start to open up with each other. The body exploration is followed with drunken hangovers and awkward moments like untimely burps and dirty underwear. And then comes the first snore which is quite funny. And yeah, we have the first fart. This is a difficult barrier to break, farting in front of a lover, and don’t we all know this. Once we’re comfortable with the fart, there’s really no stopping it! It’s all funny and nice. But do you realize the one thing that matters here? Every single incident that happened here didn’t happen just like that. Every single step took a little bit of trust that eventually accumulated into the comfort of the first noisy fart. Once you know how to build trust in a relationship, the relationship en

MAMBO AMBAYO HUWA HAYAWEKWI WAZI NA WANAWAKE WANAPOANZISHA MAHUSIANO

Image
Najua sio raisi kukubali haya, lakini kuna aina ya wanawake ambao ni waongo sana, na hiyo inajulikana, hata kuwashinda wanaume ambao inajulikana wao ndo wajanja katika kudanganya kuliko wanawake, lakini leo tutaangalia vipengele ambavyo wanawake wengi huwa wanadanganya sana kama ifutavyo; Umri   Wanawake wengi wanaamini wanaume wanavutiwa na wanawake wenye umri mdogo, wanawake walio na miaka kati ya 24-29 mara nyingi huwa wanashusha miaka 2 hadi 3 ili waonekane wadogo mbele ya wanaume. Kutokuwa na Mahusiano   Baadhi wa wanawake, husema wapo kwenye mahusiano hata kama hawapo,hii inatokea hasa kama mwanamke hamtaki mwanaume aliemtokea wakati huo na kisingizio kikubwa ni yeye kuwa katika mahusiano na huu ni uongo mmoja maarufu sana na baadhi ya wanawake pia huwa wanaficha kama wapo kwenye mahusiano, hasa pale wanapotaka kuanzisha mahusiano mapya, huku wakiendelea kuwa na mahusiano na wanaume wawili kwa wakati mmoja. Mara ya mwisho kukutana kimwili na mwanaume   Mwanamke hawezi kukw

UTUNDU KITANDANI NI SILAHA SAAFI YA ULINZI KWENYE MAPENZI

Image
Karibuni katika somo jingine ndugu wapenzi wa Elimu Kuhusu Mapenzi na Mahusiano kumekuwa na maombi kama huwezi kumfikisha mwanamke kileleni basi unausika katika hili somo!!!!…Wengi wakitaka kujua ni namna gani ya kumfikisha mwanamke kileleni kwa kuzani hawana nguvu za kuhimiri kufanya tendo kwa muda mrefu bila kufikiri kuwa kumuandaa mwanamke kabla ya tendo kunaweza kukusaidia katika kumridhisha. Wanaume wengi huwa hawana maandalizi mazuri kwa wanawake wao kabla ya tendo la ndoa yanayoweza kuwasaidia kama kichochezi cha kuwafikisha kileleni mapema. Basi njia hizi zinaweza kuwa msaada mkubwa endapo zitatumika ipasavyo na hata yule ambaye ulikuwa umridhishi baada ya somo hili utaweza kumlidhisha ipasavyo kwa kumfanyia yafuatayo. 1.Mpe maneno matamu okimtomasa kwa ulimi sikio lake kimahaba zaidi Pitisha ulimi wako shingoni kifuani, tumboni, mapajani ni ikibidi zama chumvini walau kwa dakika kumi hivi Tumia ulimi wako ipasavyo kutomasa kitovu chake Mnyonye lita kadhaa za mate

LUGHA YA MAPENZI INAVYOWEZA SAIDIA KURIDUMISHA PENZI LAKO

Image
Unaweza kumfanyia mpenzi wako kila jambo uonalo ni jema kwake na bado akakuacha au akatoka nje ya penzi lenu(cheating). Unabaki kusema “Nilikuwa nampa pesa, zawadi, na kumhakikishia nampenda na nataka tuje kuwa pamoja maishani lakini aliniacha. Haya matatizo yote yanaweza kumalizwa au kupunguzwa kwa kiasi kikubwa na kujua LUGHA YA MAPENZI anayoielewa mpenzi wako. Lugha ya mapenzi ya mwenzi wako ni ile namna mtu anaona amethaminika zaidi na ukideal nae namna hiyo anaona hewaa, hapa napendwa. Hujawahi ona mtu ashawahi kuwa na wapenzi kibao ila akipata mtu wake mmoja anatulia tuliiiiii?(am sure umewahi) Ni sababu anakuwa ameongea nae ile language yake anayoitaka yeye. Kuna lugha tano maarufu za mapenzi. Naamini kuna nyingine; zinaweza kuongezeka hapa maana najua Tanzania ndo Eden kwenyewe. 1. Maneno ya kumhakikishia penzi Mpenzi anayezungumza lugha hii ukimwambia I love you zake 10 kwa siku anatosheka. Ukimwambia Uko peke yako kwenye sakafu ya moyo wangu anafurahiiii. Ukimsifia k

YAFAHAMU HAYA KUHUSIANA NA ISSUE "UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME"

Image
Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha. Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na athari nyingi kama vile kuvunjika kwa mahusiano na hata ndoa. Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa. DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME Mwanaume anayekabiliwa na tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume huonyesha dalili zifuatazo:- 1. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume wake barabara. Kwa kawaida uume wa mwanaume aliyekamilika (rijali ) unaposimama, hutakiwa kuwa imara kama msumari, lakini kwa mwanaume anaye kabiliwa na tatizo hili uume wake hata ukisimama hubakia kuwa lege lege na huweza kusinyaa wakati wowote. Tatizo hili ni matokeo ya kulegea kwa mishipa ya uume. Mishipa ya uume ndio inayo ufanya uume usimame barabara. Mishipa hii inapokuwa imelegea, uume hauwezi kusimama barabara hata

SIX SIGNS YOU COULD BE ADDICTED IN LOVE & HOW TO OVERCOME IT

Image
Let’s today share the key signs you could be addicted to love and toxic relationships and follows with advice on how to change. 1. You lose yourself in the other person You lose your own sense of self by incessantly wondering what your lover is thinking, feeling and doing in a relationship. You see life through their lens, not in an empathetic way but obsessively and you’re pretty blind to who you’re becoming. 2. You neglect friends and family Your best friends and family now fit around his schedule and demands. Not in a balanced, mutual compromise but in a desperate bid to see him every moment he’s available. Something inside you whispers: ‘make the most of this, grab all you can, it probably won’t last, just like the others.’ 3. You change yourself to what you think he/she wants With little thought for who you really are, you change yourself to fit in with their criteria. Love addicts are often attracted to men who confirm their own perceived inadequacy with constant critic

Unaufahamu Ukubwa Sahihi wa Uume,,Soma Makala hii..

Image
Ukubwa wa uume unategemea vitu kama kiwango cha mhemuko, muda, hali ya hewa na unashiriki tendo la ndoa mara ngapi. Si wanawake pekee ambao huwa bize kuona wanakuwa na maumbile mazuri na kwamba wanakuwa ni wenye kuvutia muda wote. Wapo wanaume wachache sana ambao wamebarikiwa kuwa na uume mkubwa kwa asili. Aina ya maisha unayoamua kuishi yanaweza kuathiri ukubwa na uimara wa uume wako. Kwahiyo ikiwa una shaka kidogo juu ya ukubwa wa uume wako usihofu zifuatavyo ni vipimo vitavyo kutibitishia kua uume wako ni sahihi kabisa. Mwanamke yeye huwa na uke wenye urefu wa inch 4 ingawa unaweza kuongezeka ukubwa kutegemea na namna anavyoandaliwa au mwanaume mwenyewe alivyo. Kwa watu wazima, wastani wa ukubwa wa uume uliosimama ni kati ya inch 3.9 mpaka 5.8 (9.9-15 cm). Wapo pia wanaume wachache ambao kwa asili wana uume wa ukubwa wa inch 7 au 8. Uume unachukuliwa kuwa mdogo ikiwa uko chini ya inch 4 (chini ya sentimita 10) ukiwa umesimama. Usiwaze ukubwa wa uume ukiwa umelala. Kuna wana

7 SIGNS OF REAL LOVE

Image
These are some of signs that will help to show you that your in real relationship with you partner 1. He includes you ineverypart of his life. When a man loves a woman he wants to integrate her into his life, and bring her around his family and friends. He wants them to love you, and for you to love them. He wants you 2. He tries to give more than he takes. Real love is about giving and contributing to your partner’s life. A man who loves you will give to you in the best ways he knows how. He will care for you, respect you, listen to you, and adore you. He won’t drain your energy or make you feel like giving is only one sided. Great relationships are not about give and take, they are about give and give. 3. It’s not ‘me‘, it’s ‘us‘. You were two separate individuals, but now are a combined team. When a man is in love he will see you as inseparable. This includes when RSVPing to an event, talking about a vacation, or looking into the future, Where he goes, he wants you to go and

HUU NDIO MSINGI WA KUANZISHA MAHUSIANO BORA

Image
Mahusiano yoyote mazuri yanatengenezwa na Yana hatua za kupita,,,,Hauamki tu asubuhi ukawa na uhusiano mzuri, ni lazima ukubali kujifunza na kufanya maamuzi sahihi ili uweze kufikia malengo yako katika muda muafaka. Wengi wamejikuta wakipoteza muda kwa kushindwa kufanya maamuzi sahihi. Wamejikuta wakiingia kwenye uhusiano bila kujua wanataka nini na matokeo yake kujikuta wakipoteza muda na uhusiano wao unakuwa hauna malengo. Tunafahamu kwa pamoja kwamba, ili ufikie kwenye hatua ya ndoa ni lazima upitie hatua mbalimbali. Urafiki, uchumba na hatimaye muingie kwenye hatua ya ndoa. Ukikosea kwenye moja ya hatua hizo lazima upate madhara mbele ya safari. Mchumba mzuri ana sifa gani? Utamjuaje?….. Hili ndiyo darasa la leo na hapa chini utakwenda kupata elimu, twende sambamba. Mchumba mzuri ni yule ambaye tangu awali anaonesha kujitambua, anajua nini anapaswa kufanya kwa wakati muafaka. Aina au mfumo wa maisha yake unauona kabisa tangu mwanzoni kwamba huyu amekomaa kiakili, anayatamani

HUU NDIO MSINGI WA KUANZISHA MAHUSIANO BORA

Image
Mahusiano yoyote mazuri yanatengenezwa na Yana hatua za kupita,,,,Hauamki tu asubuhi ukawa na uhusiano mzuri, ni lazima ukubali kujifunza na kufanya maamuzi sahihi ili uweze kufikia malengo yako katika muda muafaka. Wengi wamejikuta wakipoteza muda kwa kushindwa kufanya maamuzi sahihi. Wamejikuta wakiingia kwenye uhusiano bila kujua wanataka nini na matokeo yake kujikuta wakipoteza muda na uhusiano wao unakuwa hauna malengo. Tunafahamu kwa pamoja kwamba, ili ufikie kwenye hatua ya ndoa ni lazima upitie hatua mbalimbali. Urafiki, uchumba na hatimaye muingie kwenye hatua ya ndoa. Ukikosea kwenye moja ya hatua hizo lazima upate madhara mbele ya safari. Mchumba mzuri ana sifa gani? Utamjuaje?….. Hili ndiyo darasa la leo na hapa chini utakwenda kupata elimu, twende sambamba. Mchumba mzuri ni yule ambaye tangu awali anaonesha kujitambua, anajua nini anapaswa kufanya kwa wakati muafaka. Aina au mfumo wa maisha yake unauona kabisa tangu mwanzoni kwamba huyu amekomaa kiakili, anayatamani