Posts

Showing posts from March, 2020

DIVORCE: Sababu ambazo zinaweza vunja ndoa yako

Image
Siku hizi kuingia na kuondoka katika ndoa ni kama mchezo wa  ‘cha baba na cha mama’. Hakuna wanaoipa ndoa heshima na hadhi yake kama ilivyokuwa hapo awali .Ndoa  thabiti ndio msingi wa jamii endelevu na ishara ya ustawi wa kizazi kijacho .Msukosuko katika ndoa ni ishara ya ukosefu wa msingi katika hatua ya kwanza ya kujenga taifa au jamii yenye mtazamo wa kujenga kikubwa cha kudumu .Je,Mbona kuna talaka nyingi siku hizi? Sababu ndio hizi .. na kuna nyingi zaidi ambazo hazimo katika orodha hii 1.  Kutojitolea/kukosa kuaminiana Ingawaje nguzo muhimu ya ndoa ni mtu kujitolea kuwa na mwenzake kwa mbivu na mbichi  idadi kubwa ya watu hawajajituma katika ndoa zao na baada ya miaka miwili utepetevu unaanza kuingia katika uhusiano wenu na kila mtu anakosa kumjali mwenzake . Hatua hii hufanya ndoa kukosa mvuto na baadaye kusababisha watu kutaka  kutalakiana 2.  Usinzi /mahusiano ya nje ya ndoa ‘Mipango ya kando’ ni mojawapo ya sababu kuu ambazo huwafanya watu kutalakiana . Endapo mwenzako atagu

Kwanini Wanawake Wengi Siku Hizi Hawaolewi? Jibu Mubashara Hili Hapa

Image
*KWA NINI WANAWAKE WENGI SIKU HIZI HAWAOLEWI? WENGI HUPISHANA NA WAUME ZAO* Mwanamke anapigiwa simu kwa namba ngeni, anauliza namba yangu umeitoa wapi? Usiponiambia aliyekupa usinipigie. _HAPO UMEPISHANA NA MUME_ Mwanamke anaingia ndani ya daladala, amekaa na mwanaume, kwa maringo, anachukua earphone na kuweka masikioni na kuwasha mziki ili asiongeleshwe. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._ Mwanamke anasalimiwa njiani, anaitikia, akiongeleshwa tena anachuna. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._ Mwanamke unatumiwa meseji inbox, hujibu. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._ Mwanamke unapigiwa simu na mwanaume, unaona kabisa anakupigia ila hutaki kupokea tu. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._ Mwanamke unakwenda gheto kwa mwanaume, una mkoba wako, ukifika muda wa kuondoka unaomba nauli. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._ Mwanamke unakwenda kwa mwanaume, badala ya kusonga ugali, cha kwanza unataka chipsi kuku. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._ Mwanamke unaanza uhusiano na mwanaume, siku ya pili tu unamwambia bebi sina hela ya vocha. _HAPO UME

Wanaume Mnaojisifia Mnajua Mambo Sita Kwa Sita Mnaboa Sana

Image
Umekutana na jamaa very Handsome… Very Smart..Kajazia misuli UKAMTAMANI…Yaani kila ukimwangalia Pichu inajaa udambwidambwi…Unampatia Picha Ukimpa Mzigo jinsi atakavyoimanua vizuri papuchi…SIKU YA SIKU UMEJIANDAA UMEMPA SHOO….Jamaa yuko bize anapiga mikelele ya shangwe kuita wazungu wakati wewe wala huoni anachofanya and ur wondering,” WHAT IS THIS NIGGA DOING ON TOP OF ME “ Imewahi kukutokea ? Halafu MBAYA ZAIDI baada ya kukuru kakara zisizo na faida yoyote kwako na kupakwa shombo la maana na kuwa disappointed jamaa linashuka na kukuuliza ” BABE HOW WAS IT “..Teh teh,Hapa wanaume tunapewaga jibu la kisiasa tu IT WAS FINE…halafu ananyanyua gagulo lake anaenda bafuni akirudi utasikia “I think we should go , Nimekuta Missed call za Mum” HUPEWI TENAAAAAA….Wanaume ukiona umepewa mara 1 ukiomba tena unazungushwa kama unafuatilia TIN NUMBER ofisi ya TRA ujue ULIFELI DAY 1…Akupe tena ili iweje??  UKIPEWA PAKUA HASWA..Ukishuka mtu alale kama masaa2 hivi ndo akumbuke kumbe kuna mama home … Sio m

KILA BINADAMU AMEJAALIWA MAPENZI KATIKA MOYO WAKE ILA........

Image
Kila binadamu amejaliwa mapenzi katika moyo wake,,,,ila watu wachache sana wamebahatika kuonyesha mapenzi yao kwa watu sahihi,,,,wengi wetu hutupa mapenzi yetu pasipostahili ndo sababu tunaumia,,,,,,trust me asilimia kubwa ya watu waliowahi kuwa kwenye mahusiano walikosea walipopeleka mapenzi yao.

Mchungaji Afrika Ya Kusini Aomba Mil 230 Kwa Ajili ya Kwenda Kuzimu Kupambana na Pepo la Corona

Image
Mchungaji Mboro kutoka Afrika Ya Kusini ameomba kupatiwa Tsh Milioni 230 kwaajili ya safari ya kwenda kuzimu kwaajili ya kupambana na pepo ambae amesababisha Corona Virus.  Mchungaji Mboro anasema haina haja ya kutumia gharama katika tafiti za kisayansi kwani sababu ya kile kinachotokea kwa sasa ni pepo mchafu ambae yupo kuzimu.

Mfanyakazi wa Ndani ( House Girl) ni Mtu Muhimu Sana na Wakuthamini...Haya Hapa Ndo Huwafanya Wawe Watu Wabaya

Image
Kumekuwa na matukio mbalimbali yanatokea yakihusu wafanyakazi au wasaidizi wa kazi za ndani. Matatizo mengi yanatokea katika familia nyingi hayaji tu kama radi lazima kuna sababu zinazopelekea kutokea kwa matatizo hayo. Huwezi kupanda mahindi shambani halafu ukategemea kuvuna mbaazi.  Hivyo siku zote utavuna kile ulichopanda. Kama ukipanda mbegu bora ya upendo katika familia yako tegemea kuvuna mbegu bora ya upendo. Vivyo hivyo, kama ukipanda chuki katika familia yako tegemea kuvuna mauti. Hii ni sheria ya asili unapokea kile unachotoa.  Kwa tafiti zisizo rasmi, ukitembelea nyumba kumi kati ya nyumba hizo kumi moja tu ndio wanaishi vema na wasaidizi wao wa kazi za ndani. Nyumba nyingi ni matatizo sana je matatizo haya yote yanasababishwa na nani? Lazima tuchunguze nini kiini cha kosa au tatizo kwanza. Huwezi kutatua tatizo bila kuchunguza kiini cha kosa.  Visa vimekuwa vikitawala ndani ya nyumba nyingi kwa wale wanaoishi na wasaidizi wao wa kazi za ndani. Wasaidizi wa kazi za ndani wan

Staili za kufanya mapenzi na mwanamke mjamzito

Image
Jinsi ya kufanya mapenzi na mwanamke wakati wa ujauzito Bila shaka kila aliyeko kwenye mapenzi ana kiu yakufahamu staili mbalimbali atakazotumia katika uwanja wa huba kumpagawisha mwenza wake, kimsingi kuna staili nyingi sana ijapokuwa nyingi huhitaji wapendanao wawe wanasarakasiyaani wawe wepesi wa viungo.  Leo nitazungumzia staili ambazo mwanamke mjamzito anaweza kutumia na mwenza wake wakiwa katika huba na kumfanya afurahie tendo la ndoa na panapomajariwa nitazungumzia staili nyingine ambazo kila mmoja wetuanaweza kutumia katika majambozi kumpagawisha mwenza wake. Kuinama :  Hapa mwanamke anapaswa kuinama na kushikilia ama kiti, kitanda au kitu chochote kitakachomfanya asichoke miguu yake wakati mwanaume atakapokuwa akimwingilia kimwili. Hii ni staili nzuri kwa mwanamke mjamzito kwani mwanaume hataweza kulisukumatumbo lake. Hata hivyo, staili hii ina tatizo moja, uume wa mwanaume hauwezi kukisugua kinena na ikumbukwe kuwa mwanamke ili aweze kufika kileleni lazima mwanaume asiwe mviv

Fahamu Faida ya Kutoa Kile Kilicho Kizuri Zaidi kwa Wengine ..!!!

Image
Siku zote katika maisha yako kabla hujatenda kitu chochote, kabla hujasema kitu chochote, jiulize kitu unachotaka kutenda au kitu unachotaka kusema je, kitaleta matokeo chanya kwako au hata kwa wengine? Sio kwa sababu unayo nafasi nzuri ya kutenda au kusema hiyo ikawa na maana kwako ufanye au useme tu hata mambo yanayoumiza wengine. Unatakiwa kuwa makini na kuzingatia ni nini matokea ya kile ambacho unakwenda kutenda au kukizungumza. Kwani kila wakati tunakumbushwa ya kwamba ni heri kufikiri kabla ya kutenda. Nisisitiza suala la kufikiri kabla ya kutenda kwa sababu wengi wetu hukurupuka katika kutenda mambo fulani, na kufanya hivyo kumekuwa chanzo cha kutotimiza jambo hilo. Hivyo kwa jambo lolote kabla ya kulitenda au kulisema ni heri kulitakari mara dufu zaidi. Pia kufikiri kabla ya kutenda ni muhimu kwa sababu ni dhahiri wapo watu ambao moja kwa moja utawaumiza, kama utatenda au kusema maneno  hasi, hata kama hujui jinsi unavyowaumiza. Pia uelewe wapo watu utakaowaponya kama utaamua

Huu Ndio Ukweli Sahihi Kuhusu Elimu Uliyonayo

Image
Ni utaratibu wangu ambao niliuona unafaa sana katika Maisha yangu, kwani umeweza kuyabadili sana maisha Yangu kwa kiwango cha hali ya juu sana,  sitaki kujisifia wala kujipaka mafuta kwa mgongo wa chupa maana nitakuwa najidanganya mwenyewe, ila huo ndo ukweli wenyewe, najua bado una zungusha akili yako huku na huko bila kujua ni nini ambacho nitakuwa nazungumzia je ni utaratibu upi? wala Usipate tabu ni utaratibu wa kujifunza vitu vipya Kila wakati.  Inawezekana ukawa unashangaa nawezaje kufanya hivyo? Wala usipate tabu leo nitakueleza ukweli kwani mara baada ya kugundua ya kwamba hatma ya Mafanikio yangu, ipo kwenye mandishi  hivyo nikashuru kimoyomoyo yule ambaye alinifundisha kusoma, kuhesabu na kuandika kwa kunijengea msingi imara ambao ndio nguzo kubwa ya Maisha ya kila mmoja wetu  katika dunia yenye kila aina ya kila kitu, hivyo kazi ni kwako ni aina gani ya vitu ambavyo unavihiitaji katika dunia hii.  Na Kuna wakati huwa inafika pahala naona ni vyema ni bora usinipe chakula kwan

Donald Trump Awataka Mwana Mfalme Harry na Mkewe Kujilipia Gharama ya Ulinzi

Image
Rais wa Marekan Donald Trump amewataka mwanamfalme Harry na mkewe kama wanataka kwenda marekani bali gharama ya ulinzi itakuwa juu yao na si Marekani.  “Mimi ni rafiki wa Malkia, nampenda na naipenda Uingereza, iliripotiwa kuwa Mwanamfalme Harry na Mkewe Meghan ambao waliondoka kwenye Jumba la Kifalme wataishi Canada, sasa hivi wameondoka Canada eti wanakuja Marekani, waje lakini wajue Marekani haitolipa gharama za ulinzi, watajilipia wenyewe”- Rais Donald Trump wa Marekani

House Girl Kufua Boxer Zangu ni Sawa Kweli?

Image
Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza swali hili kutokana na utaratibu uliopo nyumbani kwangu. Juzi nilikuta kuna ugomvi kati ya wife na house maid wetu, ambapo yule binti alikua amefura kwa hasira, kasimama katika mlango wa Chumba chetu akidai apewe pesa zake asepe usiku huo huo na alikua tayari ana begi mkononi. Nikambembeleza, nikamuomba asiondoke usiku huo asubiri asubuhi, wife akatoka chumbani kama mbogo na kunigeuzia kibao kwamba kwanini nambeleleza kwamba nimwache aende na hapati hata senti, ukawa ugomvi mkubwa sana, ambapo binti kwa hasira akamjibu wife kuwa “” kama wewe ni mke bora usingeshindwa kumfulia mmeo hata boxer hadi unaleta kwangu, hufai””” kwa kweli sikuwahi kujua huwa anampa maid afue boxer zangu. Huwa naona zimeshafuliwa na kupigwa pasi mimi navaa tu, juzi ndio niligundua hili suala, anyway yule binti alingangania kuondoka usiku ule kwamba yeye ni mtu mzima anajua anakoenda, tukaenda kwa Mjumbe nikampa nusu ya pesa anazodai zingine atarudia kama laki tatu hivi, kumbe

Rwanda Yaongoza Afrika Mashariki kwa Maambukizi ya Virusi Vya Corona....Waliombukizwa Hadi sasa ni 70

Image
Rwanda imethibitisha visa 10 vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Corona  siku ya Jumapili na kufikisha 70 jumla ya watu wanaougua corona, Wizara ya afya Rwanda imetangaza.  Katika hotuba yake kwa taifa usiku wa Ijumaa Rais Paul Kagame alisema idadi hiyo itaendelea kuongezeka kwasababu wale waliotangamana na waathirika wanaendelea kutafutwa.  Katika visa vya hivi punde vya maambukizi, watu sita walitokea Dubai, wawili kutoka Afrika Kusini, mmoja kutoka Nigeria na mwigine alikuwa amesafiri maeneo ya Afrika mashariki hivi karibunii, ilisema taarifa ya wizara ya afya nchini humo.  Rwanda inaongoza kwa visa vya maambukizi ya ugonjwa wa corona katika kanda ya Afrika Mashariki ikiiwa na wagonjwa 70, ikifuatiwa na Kenya 42, Uganda 33, Tanzania 19, huku Burundi na Sudan Kusini zikiwa hazijarekodi visa vyovyote vya maambukizi.

Mambo haya ni sumu katika penzi lako

Image
Ukiachilia mbali pesa, mapenzi huwa yana nafasi kubwa kwenye dunia tunayoishi. Si maskini wala si tajiri, wote kwa pamoja wanahitaji mapenzi kutoka kwa wanaowapenda ili dunia iende sawa kwa upande wao. Na ndiyo sababu hata mimi hapa ninaandika kuhusu mapenzi kwa sababu yananigusa hata mimi na hata wewe unayesoma hapa sasa. Kuna mambo mengi ambayo ni sumu kwenye mapenzi na wakati mwingine hata kusababisha wanandoa au wapenzi kuachana; Uongo Hakuna kitu kibaya kama uongo kwenye mapenzi. Uongo wa aina yoyote ile si sumu kali kwa wanaopendana kwa dhati kwa sababu hupunguza mapenzi na uaminifu kwa kiasi kikubwa mno miongoni mwa wanaopendana, hasa kama mmojawapo akigundua kuwa mwenzi wake ni muongo. Usiri Miongoni mwa mambo hatari pia kwenye uhusiano wa kimapenzi ni pamoja na hili la usiri wa kupitiliza. Kama una vitu moyoni na upo kwenye mapenzi bora kabisa si vizuri kuvificha na hasa vile vinavyohusiana na mapenzi yenu moja kwa moja. Ni kweli kuna vingine huwezi kumwambia kwa sababu havina

Maajabu ya Karafuu Katika Mwili wa Binadamu

Image
Karafuu hutumika kama kiungo na pia ni dawa muhimu kwa binadamu, ina uwezo wa kusaidia magonjwa mengi ikiwemo maradhi ya tumbo, meno na misuli vile vile hutumika katika kuleta harufu nzuri ya kinywa, mwili na mazingira ya nyumbani.  Fahamu faida za karafuu katika mwili wa bindamu  Unashauriwa, Ponda karafuu sita changanya na asali katika kijiko cha mezani kisha gawa mchanganyiko huo katika makundi mawili yanayolingana, ongeza chumvi kidogo katika kila moja pindi unapokuwa na kikohozi.  Lamba taratibu mchanganyiko huo kutwa mara mbili kama yalivyo makundi hayo kwa maana ya asubuhi moja na jioni, Endelea katika kipindi cha siku tatu hadi saba utaondokana na tatizo la kikohozi.  Wataalamu wanasema kuwa karafuu husaidia usagaji mzuri wa chakula tumboni na ni nzuri kwa matibabu ya maumivu ya tumbo, tumbo kujaa gesi na kiungulia. Hivyo, ni miongoni mwa kiungo muhimu katika vyakula kutokana na vinasaba vya aina ya eugnol vilivyomo ndani yake.  Matumizi ya karafuu na mafuta yake humfanya mtu k

Mfahamu Comedian Charlie Chaplin Kiundani zaidi

Image
Siku ya leo nilipata bahati ya kusoma historia ya muigizaji maarafu wa vicheko vya kimya kimya, naomba nawe ukae mkao wa kula ili uweze kumjua Charlie Chaplin kama ifutavyo:  Vyanzo vingi vinasema kwamba Charlie Chaplin alikuwa ni muigizaji na pia ni mtayarishaji  wa filamu maarafu wa kingereza.  Pia Charlie Chaplin alizaliwa mnamo tarehe 16 mwezi wanne mwaka 1889 na alifariki mnamo mwezi wa 12 mwaka 1977.  Umaarufu wake ulitokana na uwigizaji wa video zake  za kuchekesha ambazo zilikuwa ni za kimya kimya ambazo zilikuwa hamna kuongea wala kutoa sauti na watazamaji walikuwa wanafurahi, kwa miaka ya hivi karibuni tunaweza kumfananisha mchekeshaji huyo na Mr. bean japo Mr. bean yeye hafanyi vichekesho vya kimya kimya pekee kama ambavyo alifanya Charlie Chaplin.  Kama nilivyosema hapo awali kwamba Charlie Chaplin alikuwa ni muigizaji pia muongozaji wa filamu  zote zinazomhusu. Charlie Chaplin alifanya kazi hiyo kwa takribani kwa miaka 70.  Sehemu kubwa za filamu  ambazo alikuwa akicheza C

Sababu Zinazopelekea Wasichana wa Kileo Mpigwe Chini na Wanaume Kimapenzi

Image
Kumekuwa na ulalamishi sana miaka ya karibuni kuwa wanaume sijui tupoje,tunawaacha bila sababu ila kumbe sababu zipo tu ila wengi hawajazijuaga tu.Nimeona nibainishe sababu zangu kadhaa ambazo ni hizi hapa: 1. Hufanyi chaguo sahihi   Marazote unapenda mtu mwenye swaga,status ambaye kila msichana anamtaka bila kujali kuwa swaga si jambo la msingi katika mahusiano ila penzi la kweli na utu.80% ya wale mnaowadiss ndio wana mapenzi ya kweli na utu uliotukuka!Wenye swaga huwa hawana future wanasuuza rungu tu wakati wakiskilizia kali mara nyingi akitokea mkali zaidi ujue ushalia! 2. Kupenda ready made   Jaribuni kuanza mapenzi na mtu sahihi tokea akiwa chini ili mfurahie mafanikio badae.Mara nyingi mwanaume ulieanza nae kwenye msoto hana jeuri ya kukuacha.Unakurupuka kwa mtu mwenye life lake tayari hujui kahaso vipi kuupata mchomoko unaleta shobo za kujitia unamjua sana.Utaumia maana ukizingua kidogo anapita hivi! 3. Kuendekeza uzungu mwingi   Kina dada wengi siku hizi hampendi kuwa chini,hu

Sababu 11 Za Kufanya Mapenzi Na Rafiki Yako Wa Dhati

Image
Kufanya mapenzi na rafiki yako si jambo la kawaida. Hii ni kwa sababu wengi huamini ya kuwa rafiki yako kimtazamo flani ni kama mtu wa karibu wa familia. Pia wengi huingiwa na mtizamo wa kuwa rafiki yako ni mtu ambaye yuko kwa ajili ya kusaidiana kimawazo na wala si kufikiria mambo na mapenzi nk. Lakini kusema ukweli ni kuwa watu inafikia wakati flani wanavutiwa kimapenzi na rafiki zao, wanatamani kuwa nao maishani nk, lakini neno 'ni rafiki yangu' ndilo linalozuia wengi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na marafiki zao. Well, ushawahi kwenda katika harusi na kuwasikia wanandoa wakisema ya kuwa "mchumba wangu alikuwa rafiki yangu wa dhati"? Neno hili linatumika kwingi na wanandoa wengi. Jambo hilo ndilo limenifanya nifunguke na kutoa sababu za kwanini unafaa kufanya mapenzi na rafiki yako. Sababu kwa nini unafaa kufanya mapenzi na rafiki yako 1. Wao ndio wanaokujua vizuri Hii ndio inaweza kuonekana sababu moja kuu lakini wengi huidharau. Kama una rafiki wa dhati ambaye am

Hatua 10 za Kumchagua Mchumba

Image
Wengi wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni.  Watalaam hao wanataja safari ya kupata chaguo halisi la mwanaume/mwanamke wa maisha ndiyo inayowaponza wengi kiasi cha kujikuta wameingia katika kashfa ya kuwa na uhusiano na dazeni ya wapenzi.  Wanasema msichana/mvulana anayeingia katika uwanja wa mapenzi kwa kuwa na hisia za kufanya ngono, hukosa umakini wa nani anafaa kuwa mpenzi wake kutokana na kukosa elimu ya uhusiano kutoka kwa wazazi wake.  Kwa mantiki hiyo, bila upembuzi wa kina, mtu asiye na elimu ya jinsi ya kumpata mpenzi wa kweli hujikuta ameangukia kwa mwanaume/mwanamke asiyemfaa, ambapo baadaye huamua kuachana na huyo na kwenda kwa mwingine kujaribu bahati tena ya kupata penzi la kweli.  Zinatajwa zawadi, hitaji la kusaidiwa kimaisha, mvuto wa kimahaba na mazoea kuwa ni vic

Nani ni Muhimu Katika Maisha yako? Soma Hichi Kistori Kifupi cha Kufundisha

Image
Siku moja katika darasa la jioni la watu wazima, mwalimu wa saikolojia aliingia darasani na kuwaambia wanafunzi;  "Nataka tucheze mchezo, mtu yeyote yule naomba ajitolee aje hapa mbele"  Mwanamke aitwae Cathy akatoka mbele. Mwalimu akamwambia aandike majina 30 ubaoni ya watu ambao anadhani ni wa muhimu katika maisha yake.  Cathy akaandika majina ya wanafamilia yake yaani mumewe na mwanae, ndugu, majirani na marafiki zake.  Mwalimu akamwambia Cathy afute majina matatu ambayo anadhani kwake sio ya muhimu sana kuzidi mengine. Cathy akafuta majina ya marafiki zake watatu.  Mwalimu akamwambia Cathy afute tena majina matano zaidi, Cathy akafuta majina ya majirani zake watano.  Hii iliendelea mpaka alipobakiwa na idadi ya watu wanne tu katika ubao. Haya yalikuwa majina ya wazazi wake, mumewe na mtoto wake wa pekee.  Darasa zima wakabaki kimya, baada ya kugundua kuwa huu sio mchezo wa Cathy peke yake sasa.  Mwalimu akamwambia Cathy afute majina mengine mawili kati ya yale manne yaliy

Wife Kanibambaa na Condom Moja, Sasa Anataka Kujua Mbili Zilikwenda Wapi

Image
Wadau na wakuu wote hapa Jf amani iwe kwenu, nimekaa pembeni kwa muda mrefu kidogo kutokana na kuwa bize kwenye kipindi hiki cha kampeni lakini nimekuja hapa kwa dharula tu.  Nimekuwa mmoja wa wajumbe wa kamati ya ushindi kwenye kampeni ktk jimbo flani ambalo lipo ndanindani sana, baada ya kukaa kwa kwa zaidi ya mwezi nikiwa nje ya mji juzi wife kaja kunitembelea akiwa kaongozana na mke wa mgombea maana familia zetu marafiki, tena ujio wao ni wa kushtukiza bila taarifa (cku umepandishwa daraja wanasema alini surprise)  Mwanzo tulipoonana alikuwa ni mtu mwenye bashasha tena aliyejawa muwashawasha, nikajua hapa leo kazi ni moja kuviringishana mwanzo mwisho usiku baada ya msosi yeye akatangulia kulala sisi tukabaki na vikao vyetu vya mikakati, saa 6 hivi naingia chumbani namkuta kakaa kitandani amefura kwa hasira hadi nikapata hofu (hapo nikaona lile tumaini la kuviringishana linayeyuka taratibu)  Akaniuliza (hapo akataja jina langu halisi, hicho ndo kipimo cha kuonesha hasira zake ni kun

Makosa Makubwa Yanayofanywa na Wanaume Katika Mahusiano ya Mapenzi

Image
Kuna mambo ambayo mtu anaweza kufanya pasi na kujua kuwa anafanya makosa. Ikija katika masuala ya mahusiano, wanaume wengine huchukulia kama mzaha. Wakishafaulu kutongoza na kumteka hisia mwanamke, wao hujisahau na kuanza kuishi nao kama mtu wa kawaida.  Leo tumekuja na ujuzi wa kukuonyesha makosa ambayo unaweza kuwa unayafanya bila kujua kuwa yana athari. Kiufupi ni makosa ya kijinga ambayo yanaweza kuepukika kirahisi iwapo utayafuatilia.  Hii ni muhimu kwa kuwa ukiachana na makosa haya basi unaweza kudumu katika mahusiano marefu na mpenzi wako zaidi.  Yafutayo ndiyo makosa yanayofanywa na wanaume katika mahusiano;  Unasahau kujijenga kibinafsi Kosa lengine ambalo wanaume hujipata katika uhusiano ni pale ambapo wanatelekeza majukumu yao ya kujiendeleza kimaisha. Wanasahau mambo ambayo walikuwa wakifanya ama walikuwa wakitarajia kufanya kabla kuingia katika uhusiano wa kimapenzi.  Kusahau marafiki zako Ni kawaida kupunguza mawasiliano na marafiki zako pindi ambapo utaingia katika mahus

Mgonjwa wa Corona Aliyefariki KENYA Alikuwa na Kisukari

Image
Raia wa Kenya aliyeaga dunia siku ya Alhamisi nyakati za mchana katika chumba cha wagonjwa mahututi hospitali ya Agha Khan jini nairobi ambako alikua amelazwa alikuwa anaugonjwa wa kisukari.  Raia huyo mwenye umri wa miaka 66, alikuwa amewasili nchini Kenya tarehe 13 mwezi Machi kutoka Afrika Kusini kupitia Swaziland.  Katika taarifa iliotiwa saini na waziri wa Afya Mutahi Kagwe, serikali ilisema kwamba ilipokea kwa huzuni habari za kifo cha Mkenya huyo ambaye alikuwa amekutwa na virusi hivyo baada ya kupimwa.]  Mbowe ajiweka karantini na familia yake  Katika mkutano na wanahabari afisa mkuu katika wizara ya afya Mercy Mwangangi alisema kwamba visa vyote vya hivi karibuni ni vya Wakenya waliokaribiana na watu walioripotiwa kuwa na ugonjwa huo hapo awali.  Rais Uhuru Kenyatta alitangaza hatua kadhaa ambazo alisema zitasaidia serikali yake kukabili janga la corona ikiwa ni pamoja na amri ya kutotoka nje kuanzia Ijumaa Machi 27 kuanzia saa moja usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi.

KWA WADADA! Dalili 8 za mwanaume mwenye aibu na amekuzimia na Hataki kukwambia

Image
Ukweli usemwe. Kila mwanamume ameumbwa kivyake. Kuna wale ambao mambo yao hupenda kuyaweka wazi na wengine ambao mambo yao hupenda kuyatia kikapuni. Kuna wale ambao hawapendi kujionyesha hadharani na kuna wale ambao mambo yao huyaweka kimbelembele. Tukija maswala ya kutongoza, kuna mitindo tofauti tofauti ambayo wanaume hutumia ili kufaniikisha lengo lao. Kuna ule msemo unaosema 'mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani, yaani unaweza kufuata njia tofauti tofauti kufika pahali lakini mwishowe utarudi pale pale sehemu moja, so kwa wanaume kila mmoja ana mbinu yake ya kutongoza. Usiwahi kusema kuwa mwanamume aibu hajui kutongoza akiwa na wewe, labda hio aibu yake ni moja wa mtego aliouweka spesheli wa kukunasa wewe. So utajuaje kama mwanaume mwenye aibu amekuzimia lakini hataki kuonyesha? 1. Anaingiwa na wasiwasi akiwa na wewe Ukiona mwanaume anaingiwa na kibaridi ama kupapatika akiwa kando yako ujue ni ishara ya kukuambia kuwa amekuzimia. Hii inatokea wakati mko pamoja halafu anaingiwa

Mtoto wa Wema Sepetu Gumzo Mtandaoni...Anatumia Hadi Inastagram

Image
Kama unasimuliwa na mtu unaweza kusemani uzushi lakini ukweli ni kwamba Msanii wa Bongo Fleva Wema Sepetu anamiliki mbwa ambaye anamuita kuwa ni mtoto wake na umbwa huyo ana akaunti ya Insagram. Wema ambaye ni maarufu sana kwa katika tasinia ya muvi za bongo katika mtandao huo wa instagram ana wafuasi milioni 6.7 na mtoto (Mbwa) wake ana wafuasi takribani 3,000. Tofauti na mbwa mwingine Mbwa wa wema ambaye anaitwa Vanillanunu anaposti na kuandika maelezo ya posti zake na mama yake humlalamikia na kumuonya pale anapokosea kama juzi alipochezea nguo za mama yake na kuzichana. Ishu sio wema na watoto wake katika mitandao mjadala ulioibuka ni mbwa huyo kuwa na akaunti ya Instagramu tena yenye wafuasi wengi kuliko hata wengi wetu nikiwemo mimi. Wengine waliohoji majukumu ya mtoto huyo mpendwa wa Wema na wengine wanamsfia kuwa ni mzurii.

Ndege ya kijeshi ya Urusi yaanguka katika Bahari Nyeusi

Image
Shirika la habari la Urusi limeripoti kuwa ndege ya jeshi la nchi hiyo chapa SU-27 ilianguka katika Bahari Nyeusi jana usiku, na kwamba operesheni imeendelea hadi leo asubuhi kumtafuta rubani wa ndege hiyo. Shirika hilo limesema ndege hiyo ilipotea kwenye rada ikiwa umbali wa kilometa 50 kutoka mji wa Feodosia katika rasi ya Crimea, ambayo Urusi imeinyakua kutoka Ukraine. Wafanyakazi wa uokozi wanasema wamefuata ishara za njia ya mawasialiano ya dharura ya redio, ambayo imesikika mahala ambapo pameelezwa kuwa mbali sana na walipoanzia uchunguzi wao, hii ikiwa ni kwa mujibu wa afisa wa serikali aliyenukuliwa na shirika la habari la Tass. Imearifiwa kuwa ndege hiyo iliyoanguka ilikuwa katika ujumbe ambao hata hivyo maelezo yake zaidi hayakutolewa. Shughuli hizo za uokozi znatatizwa na hali mbaya ya hewa.

Muuguzi Aliyepata Corona Ajiua Kwa HOFU Kuwa Angewaambukiza Wengine

Image
Muuguzi wa Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) katika Hospitali ya San Gerardo, Daniela Trezzi (34) amejiua baada ya kupata maambukizi ya #COVID_19 na kuhofia kuwa atawaambukiza wengine  Mbali na hofu ya kueneza Virusi hivyo, imeelezwa kuwa Daniela pia alikuwa na msongo wa mawazo uliosababishwa na kazi kubwa wanayofanya watumishi wa afya katika kudhibiti #CoronaVirus  Kabla ya kifo chake aliwaambia wafanyakazi wenzake kuwa ana wasiwasi amemuambukiza mtu mwingine Virusi hivyo  Uchunguzi zaidi wa kifo cha #DanielaTrezzi unaendelea

Bodaboda, Daladala Marufuku Uganda, VITA Dhidi ya Virusi vya Corona

Image
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepiga marufuku matumizi ya usafiri wa umma nchini Uganda.  Katika hotuba yake kwa taifa, bwana Museveni alitangaza marufuku katika usafiri wote wa umma ikiwemo boda boda.  Mabasi madogo na yale makubwa yanayoelekea maeneo ya mashambani pamoja na magari moshi pia yamepigwa marufuku.  Magari ya kibinafsi yanaweza kutumika lakini sasa yatalazimika kubeba watu watatu pekee akiwemo dereva.  Masoko nayo yatasalia wazi lakini yatakuwa yakiuza vyakula peke yake.  Hatua hiyo inajiri baada ya taifa hilo kuthibitisha visa vingine vitano vya ugonjwa wa coronavirus kikiwemo kisa cha mtoto mwenye umri wa miezi minane na hivyobasi kufanya visa hivyo katika taifa hilo kufikia idadi ya watu 14.  Wiki mbili zilizopita serikali ya Uganda ilizindua sera ya karantini ya lazima kwa wasafiri wanaowasili nchini humo kutoka mataifa 16 yaliyopo katika ‘hatari zaidi’ ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona.  Uingereza, Marekani na nchi kadhaa za Ulaya ni miongoni mwa mataifa ya

Wanajeshi 92 Wauawa na BOKO Haram....

Image
Rais wa Chad, Idriss Deby amesema Wanajeshi 92 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulio lililofanywa na Boko Haram katika eneo la Boma na kudumu kwa takriban saa 7  Ametaja shambulio hilo kuwa baya zaidi kutokea nchini humo na kwamba hiyo ni mara ya kwanza kwa Chad kupoteza Wanajeshi wengi ndani ya siku moja  Imeelezwa kuwa vikosi vilivyotumwa kusaidia Jeshi navyo vilishambuliwa na Boko Haram, ambao walifanikiwa kuchukua silaha za Jeshi. Aidha, magari 24 ya kijeshi pia yameharibiwa vibaya katika shambulio hilo  Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa (UN), mashambulizi ambayo yamefanywa na Boko Haram kwa muda wa miaka 10 yamegharimu maisha ya watu 36,000 na kusababisha wengine Milioni mbili kukimbia makazi yao

Utafiti Mpya wa Kisayansi wa Covid19 – Msaada Mkubwa wa Kujikinga na Kuzuia Maambukizi kwa Wengine

Image
Watafiti wa vyuo vikuu na taasisi kadhaa za utafiti wa magonjwa ya mlipuko nchini Marekani, wamechapisha utafiti mpya wa kimaabara unaotoa mwanga mkubwa wa namna virusi wa Covid19 wanavyasambaa na kuambukizwa kutoka mtu mmoja hadi mwingine (UKO HAPA). Kwa kuwa sio kila mtu anasoma machapisho ya kisayansi, ninaomba nijaribu kutoa ufupisho wa matokeo ya utafiti huu na tafsiri yake ya namna yanatusaidia katika kupambana na mlipuko wa Covid19.  Kwa kuanzia, ili kuelewa utafiti huu, chukulia unapuliza Doom (spray) kuua wadudu au unapuliza spray ya kuleta harufu nzuri kwenye chumba/nyumba (air refresher). Tunapopuliza spray hizi hutoa matone madogomadogo kama ya maji yanayobaki hewani au kwenye uso wa kitu ulichopulizia kwa muda kufanya kazi kusudiwa (kuua wadudu au kuleta harufu nzuri). Kwa lugha ya kikoloni matone haya huitwa “Aerosols” ila kwa malengo ya ufafanuzi huu sisi tuite tu kizaramo kwamba ni matone.  Mtu anapokohoa au kupiga chafya matone (mate, makohozi au kamasi) hubaki ama hew

Prince Charles, Agunduliwa na Virusi vya Corona, Malkia Yuko Salama

Image
Mwana-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika msululu wa taji la ufalme la nchi hiyo, amegundulika kuwa na virusi vya Corona na sasa amejitenga peke yake huko Scotland. Katika taarifa iliyotolewa na makao makuu ya kifalme nchini humo, Malkia yuko salama. “Prince of Wales amegundulika kuwa na virusi vya Corona. Pamoja na kuonyesha dalili kadhaa za ugonjwa huo, yuko katika hali njema na amekuwa akifanya kazi zake akiwa nyumbani mnamo siku chache zilizopita.” imesema taarifa hiyo na kuongeza: “Haiwezekani kutambua mahali alipovipata virusi hivyo kutokana na kazi nyingi alizozifanya katika jamii katika wiki za karibuni.”