Posts

Showing posts from April, 2020

Chagua Kufanya Mambo Haya, Ili Yakupe Mafanikio Makubwa

Image
Siku zote maisha ya binadamu  yanaongozwa na uchaguzi tunaoufanya kila siku. Uchaguzi huo ndio unatufanya tuwe na maisha haya au yale. Kama uchaguzi unaoufanya ni mbovu kila siku, basi ni wazi na maisha yatakuwa mabovu vilevile. Na kama uchaguzi wako ni mzuri, halikadharika na maisha yako yatakuwa mazuri vivyo hivyo. Kitu cha kuwa makini nacho hapa, angalia uchaguzi unaoufanya kila siku na kila wakati. Uchaguzi huo ndio unaoamua maisha yako ya kesho yaweje. Kama ni hivyo, ni lazima kwetu kufanya uchaguzi utakaotupa maisha bora. Jaribu kujiuliza, ni uchaguzi wa mambo gani unaotakiwa kuufanya ili kukupa mafanikio makubwa? 1. Chagua kutumia fursa vizuri. Kwa fursa yoyote inayojitokeza mbele yako, jifunze kuitumia vizuri. Kama ni fursa ya kibiashara au elimu itumie vizuri mpaka uone mafanikio yake. Acha kucheza na fursa yoyote ya kimafanikio inayojitokeza mbele yako. Ikiwa utafanya hivyo elewa ni lazima ipo siku utakuja kujuta kwa uamuzi ulioufanya leo. Kuna watu ambao wameshindwa kufaniki

Ukiona Haya, Fahamu Muda wa Kubadilisha Betri la Simu yako Umefika!

Image
Ingawa betri la simu limetengenezwa na uwezo wa kuchajiwa mara kwa mara ila inafika muda ambao lazima libadilishwe tuu. Hasa inategemea utumiaji na utunzaji wa betri husika ila mara nyingi betri linaweza kuwa zima kabisa kati ya miezi 6 hadi miaka miwili ya kutumiwa. Haya ndiyo ya kuangalia ili kutambua muda wa kubadilisha betri lako. 1.Muda wa betri kukaa na chaji umepungua na ata zaidi ya nusu ya mwanzo Itakapofika muda ambao kiwango cha kupoteza chaji kimepungua kufikia hadi nusu au chini zaidi ukilinganisha na mwanzoni ulipoinunua kwa mara ya kwanza basi ujue haifai tena. Muda mwingine utakuta simu inaonesha inakiwango cha asilimia nyingi tuu ya chaji alafu ghafla unashtukia imezima, ukiwasha inasema ‘battery low’, badilisha tuu betri. Betri lisilofanya kazi kwa ufanisi linaathiri ata vitu vingine kwenye simu yako. 2. Simu inapata joto sana Je unasikia simu inakuwa yamoto sana hasa hasa joto hilo likitokea eneo la betri? Epuka hatari, badili betri mara moja. Pia mara nyingi ikitoke

Ukiyafanya Haya Mafanikio Makubwa Yapo Upande Wako

Image
Kwa muda mrefu umekuwa ukijiuliza ni vipi utapata mafanikio unayoyahitaji?  Lakini jibu ni kwamba mafanikio unayo wewe mwenyewe ila tatizo ni kwamba unakuwa ni mtu wa kusuasua kuanza mambo hayo ya kusaka mafanikio. Ngoja nikukumbushe ya kwamba hakuna muda maalumu wa kuyasaka mafanikio. Utawasikia watu wengine wanasema eti nikiwa ukifika miaka 35 au 40 eti ndo utaanza kuyasaka mafanikio kwa kuwa na nyumba, magari na mengineyo. Hii sio kweli  kumbuka ya kwamba muda wa mafanikio ni sasa na wewe ndio mwamuzi wa kuamua  kuanza kuchangamkia fursa zilizopo ili uweze kuwa miongoni  mwa matajiri ambao utakuwa unatajwa midomoni  mwa watu,  naamini  ya kuwa unaweza. Wapo baadhi ya matajiri wakubwa tunaowajua.  Leo ukijaribu kusoma historia zao wengi wameanza kuwa na mitaji midogo kabisa  lakini leo hii ndio ambao wapo midomoni mwetu. Kwa sisi ambao bado hatujapata mafanikio kwa muda mwingi tunakaa vijiweni tunawajadili , kuwasifia na kuwapa sifa nyingi nzuri bila wao kutusikia hata kutujua majina

WATU Wengi Hawamuelewi NYOKA Ndio Maana Wanapanic ,Chukua Tahadhari Hizi Pindi Uking'atwa

Image
Wengi wakimuona nyoka wanaanza kukimbia ,kupiga makelele.Nani kakuambia kuna nyoka ambaye akimuona mtu anaanza kumkimbiza. Nyoka sio simba au chui ambao tabia zao wakimuona mtu ambaye ni kitoweo kwao wanaanza kumkimbiza kwa nia ya kumla.Kwa nyoka la hasha hakuna nyoka wa aina hiyo awe venomous au non venoumous.Nyoka huwakimbiza rodents tu kama panya sababu ni kitoweo chao. Watu hawamtizami nyoka kama kiumbe wa porini Bali humtizama kama vile kitu kibaya hilo ndio tatizo. Nyoka pekee ni kiumbe namba moja ambaye watu humuelewa sivyo ndivyo Africa,hivyo ni mnyama anayeongoza kuuliwa kikatili Nyoka hupata attention mbaya sababu ya stori ambazo watu husikia pale mtu anapong'atwa Kung'atwa kwingi panatokea pale mtu anapojaribu kumzuru nyoka na kiumbe huyo anajaribu kujitetea Majira ya kiangazi nyoka hujificha sana chini ya mawe,miamba majani au kwenye miti kukaa mbali na joto la jua Mida ya jioni hujitokeza kwa wingi na usiku wakati hali ya joto ipo chini hushamili kwa wingi Nyoka wa

Mfahamu “ENYA” Mwanamziki Anayemwabudu na Kumtukuza SHETANI Kupitia Nyimbo zake

Image
Tumeshazoea kuwaona wanamuziki mbali mbali wa Gospel wakimwimbia na kumtukuza Mungu, ila kwa mwanamama kutoka ireland , Enya Patricia Brennan aliyezaliwa mnamo 17 May 1961 , kwake ni tofauti, baada ya kuamua kutumia kipaji chake cha kutisha katika kumwabudu na kumwimbia shetani. Mwanamuziki huyo ambaye amejizoelewa umaarufu mkubwa duniani, haswa pia baada ya nyimbo zake kupendwa kutumika kama “Soundtrack “ kwenye filamu za kutisha/ horror films( Sakobi-Nigeria , na nyingine nyingi kutoka hollywood.) Baadhi ya nyimbo zake zilizompa umaarufu na utajiri mkubwa ni: 1. Orinoco flow 2. Only Time 3. Wild child 4.Caribbean blue 5 . May it be 6. Echoes in rain na nyingine nyingi. Hata hivyo nyimbo zake nyingi amekua akiimba kwa lugha isiyoeleweka hili kuficha “CODE” au maana Halisi ya nyimbo zake, ambazo nyingi anakua akimsifia shetani kwa matendo yake makuu na kwa ukuu wake. Moja ya wimbo wa Enya ambao unasemekana akimsifu shetani ni huu: “MAY IT BE” May it be an evening star Shines down upon

Siku ya Kwanza Kunywa Kiroba Ndio Siku Safari ya Mapenzi Hadi Ndoa ilianza..Soma Kisa Kizima Hapa

Image
Safari yangu ya ndoa ilianza kwa namna yake! nikiwa mitaa fulani ya kijitonyama' baada ya kuhitimu na kuamua kuacha kazi ili nijikite kwenye ujasiriamali nilikutana na ukata ambao sikuwahi kufikilia kama ungewahi nitokea' hata hivyo mtembea bure si sawa na mkaa bure' maana mkate ulikuwa unapatikana!! Nilikuwa na kibanda cha huduma fulani pembezoni mwa barabara' hivyo watu wakishuka mitaa ya sayansi walikuwa wanapita usoni mwa banda langu lakutafutia liziki kwenye ile barabara yakuelekea Kwa Ally Maua(watu wa k'nyama wananielewa vizuri hapa) Kumbe kati ya wale wapita njia ambao huwa nawaona asubuhi na jioni wakiwa wanaenda na kutoka maofisini moja wao ni ubavu wangu lakini kwa hali yakawaida ilikuwa fumbo zito kwangu. Mara mojamoja ilinipa wakati mgumu hasa pale nilipokuwa naona wapendanao wakiwa wanasindikizana na wamependezana'' kilichokuwa kinaniumiza ni maswali mengi niliyokuwa nayo kichwani yasiyokuwa na majibu' lini mambo yangu yatanyoka? Lini takuw

Uwezi Amini..Mfahamu Msichana MDOGO zaidi Kuwahi Kujifungua Mtoto

Image
LINA MEDINA aliyezaliwa Peru mwaka 1933 ndiye msichana mdogo zaidi kuwahi kuripotiwa kujifungua mtoto.Alijifungua akiwa na miaka 5,miezi 7 na siku 21.Alizaliwa akiwa na tatizo linalojulikana kama precocious puberty ambalo humfanya mwanamke apevuke mapema. Tofauti na wanawake wengine,alianza kupata hedhi akiwa na miaka 4 tu.Nyonyo/matiti yake na nyonga vyote vilikuwa vimekomaa alipokuwa na miaka 4 tu. Baada ya kulalamika kwa muda mrefu kuhusu maumivu ya nyonga na tumbo,wazazi wake waliamua kumpeleka hospitalini kupimwa.Hakuna aliyeamini baada ya kuambiwa binti huyu alikuwa na ujauzito wa miezi 7.May 14,1939 binti huyu alijifungua mtoto wa kiume kwa upasuaji kutokana na udogo wa nyonga zake aliyekuwa na afya bora kabisa,akiwa na kilo 2.7 ambaye walimpa jina la Gerardo kwa heshima ya jina la daktari liyemfanyia upasuaji huo. Kama walivyo watoto wengine,Gerardo aliishi akijua Lina ni dada yake na siyo mama yake kutokana na udogo wake.Alipofikia miaka 10 ndipo alipokuja kugundua kuwa hakuwa

Hii Ndio Taa ya Ajabu Inayowaka TANGU Mwaka 1901 Mpaka Leo

Image
Kuna maajabu mengi Duniani na mojawapo ni hili la Taa (Balbu), ambayo inashikilia rekodi ya kuwaka kwa muda mrefu zaidi. Unaambiwa Balbu hiyo inawaka kuanzia mwaka 1901 na inapatikana huko Livermore, California Marekani na kitengo cha Zimamoto kutoka Livermore, ndiyo wamepewa mamlaka ya kuitunza na kuihudumia. Kwa mwanzo Balbu hiyo inasemekana ilikuwa ikitoa nguvu ya mwanga yenye Watt 40 mpaka 60, lakini kwa sasa inatoa Watt 4 sababu ikitajwa ni kutokana na kukaa muda mrefu na mabadiliko ya teknolojia. Balbu hiyo ilitengenezwa na kampuni ya Shebby Electric na inaelezwa kuwa taa nyingi zilizotengenezwa na kampuni hiyo miaka ya zamani mpaka sasa zinafanya kazi. Zylpha Bernal Beck anasimulia kuwa Balbu hiyo ilitolewa na baba yake kwa kitengo hicho cha kupambana na moto mwaka 1901 ikiwa ni kama msaada. Iligunduliwa mwaka 1972 na ripota aliyefahamika kwa jina la Mike Dustan, ambaye alifanya mahojiano na watu walioishi eneo hilo kwa muda mrefu na baadaye aliamua kuwaita watu wa 'Guinness

Fumbo la Mke wa Lutu na Sodoma na Gomora

Image
Sodoma na Gomorrah ni miji iliyokuja kuangamizwa kwa sababu wakazi wake walifanya kufuru ya starehe mpaka kumsahau Mungu kabisa....na kibaya zaidi ni ile dhambi ya kutenda kinyume na maumbile Ndani ya miji ile akawepo mchamungu mmoja naye alikuwa Lutu...mweledi mnyenyekevu na msikivu sana.. Baba wa mke mmoja na mabinti wawili Mungu alikasirika na kuamua kuiteketeza ile miji miwili.,lakini akaamua kumuokoa mtumishi wake Lutu na familia yake ila kwa sharti moja! Kwamba Lutu aondoke na familia yake kabla miji ile haijateketezwa lakini 'ATAKAYEGEUKA NYUMA' atageuka jiwe la chumvi Kwanini kugeuka nyuma? Fumbo la Sodoma hilo! Mke wa Lutu aligeuka nyuma na akageuzwa kuwa jiwe la chumvi!je naye alikuwa mteja Lutu na mabinti zake hawakugeuka nyuma na wakaenda kuishi mlimani mpaka Lutu alipokuwa mzee kabisa! Mabinti zake wakajiongeza wakaona baba anazeeka mama hayupo na sisi ni mabinti! Tusipofanya namna kizazi kitapotea Makatengeneza mvinyo mkali wakampa mzee akanywa akalewa.....wakampa

Maji Maji Ukeni Kama Mtindi Yananikera, je ni Uchafu? Nahisi Kumuacha

Image
Mpenzi wangu ana majimaji meupe kama mtindi ulioganda na unatoka kwa mabonge bonge wakati tukiwa tunafanya yetu, Nimejaribu sana kumwambia ajisafishe vizuri sana lakini hayaishi, sasa nashindwa kuelewa  je ni uchafu wa kawaida kwa mwanamke ? Au ni Ugonjwa ? Naomba Ushauri kwa Anayejua Utatuzi wa Tatizo Hili

Wachina 6 washtakiwa kwa kutoroka Karantini

Image
Mahakama ya Nakawa Jijini Kampala Uganda, imewashtaki raia 6 wa China baada ya kutoroka kutoka katika moja ya hoteli nchini humo, ambako waliwekwa Karantini. Hakimu Mkuu wa Mahakama hiyo, Ruth Nabaasa amewataja raia hao kuwa ni Huang Haiguiang, Li Chaochyan, Lin Xiaofang, Qin Shening, Liang Xinging na Huang W, ambapo wameshtakiwa kwa kosa la kutotii agizo la Serikali kukaa karantini kuzuia kusambaa kwa Virusi vya Corona. Kesi yao imeahirishwa hadi Mei 4 ambapo itatajwa tena kwa ajili ya hukumu, wakati huo Mahakama itakuwa imeshampata mkalimani mzuri wa lugha ya Kichina. Kulikuwepo na kituko wakati kesi hiyo ikiendelea, ambapo mkalimani aliyekuwepo mahakamani hapo, Michael Zhong aliacha kutafsiri katikati ya maongezi akisema kuwa hakuwa amelipwa kwa ajili ya kufanya kazi hiyo. Wasaidizi wawili wa Wachina hao ambao ni dereva, Abdu Matovu (35) na mkewe, Swabu Nansuna (27) waliokimbia kabla ya siku 14 za karantini kumalizika, nao walikuwepo mahakamani hapo kusikiliza mashtaka yao. Wawili h

Qatar, Saudi Arabia zagombania uenyeji wa michezo ya olimpiki ya Asia 2030

Image
Mataifa jirani yanayohaimiana Qatar na Saudi Arabia yatapambana kuwania uenyeji wa michezo ya olimpiki ya bara la Asia, baada ya Baraza la Olimpiki la Asia, OCA, kutangaza kupokea maombi kutoka Doha na Riyadh leo. Rais wa Baraza hilo Sheikh Ahmad Al-Fahad Al-Sabah, amesema katika taarifa kuwa baraza limepokea maombi mawili mazito kwa ajili ya uenyeji wa michezo ya mwaka 2030. Saudi Arabia, pamoja na Umoja wa Falme za Kiarabu, Bahrain na Misri, zilivunja uhusiano na kisiasa, kibiashara na usafiri na Qatar katikati mwa mwaka 2017, wakiituhumu kwa kuunga mkono ugaidi na kujiweka karibu na adui yao wa kikanda Iran. Qatar inakanusha tuhuma hizo na inasema mzingiro uliowekewa na mataifa ya Kiarabu unalenga kuudhoofisha uhuru na mamlaka yake. Qatar iliwahi kuwa mwenyeji wa mashindano ya mwaka 2006 lakini Saudi Arabia haijawahi kuandaa mashindano ya OCA. Mwenyeji wa mashindano hayo atatangazwa na mkutano wa baraza kuu la OCA Novemba mwaka huu.

BANGLADESH: Zaidi ya madaktari 250 waambukizwa Corona, Upungufu wa vifaa waelezwa kuchangia

Image
Taifa la Bangladesh likiwa na maambukizi ya watu wenye Corona 4,186 na vifo 127 hadi sasa huku waliopona wakiwa 108.  Imeripotiwa kuwa takriban madaktari 251 nchini Bangladesh wamepata maambukizi ya #CoronaVirus. Taasisi ya Madaktari (BDF) imelalamikia ukosefu wa vifaa kinga (PPE) kuwa chanzo cha Madaktari kupata maambukizi kutoka kwa wagonjwa. Kufuatia ongezeko la waathirika wa #COVID_19 nchini humo, Serikali imekuwa na changamoto ya kuwalinda watumishi wa afya ili wasipate maambukizi ya Virusi hivyo. Bangladesh, kama ilivyo kwa mataifa mengi duniani inakabiliwa na uhaba mkubwa wa vifaa kinga kwa ajili ya watoa huduma za afya.

Kwa mujibu wa WHO hizi dawa tatu ndio zenye matumaini makubwa ya kutibu Corona, Ikiwemo ARVs

Image
Zaidi ya wa watu 150,000 wamefariki kutokana na virusi vya Covid 19 , lakini kufikia sasa hakuna dawa zilizothibitishwa kutibu ugonjwa huo. Zaidi ya dawa 150 zinafanyiwa utafiti duniani. Nyingi kati ya yazo ni dawa zilizopo ambazo zimekuwa zikifanyiwa majaribio dhidi ya virusi hivyo. Shirika la Afya Duniani WHO limezindua majaribio ya pamoja ili kuchunguza tiba yenye matumaini. Uingereza inasema kwamba majaribio yake ndio makubwa zaidi dunuiani huku zaidi ya wagonjwa 5000 wakishiriki. Na vituo vingi vya utafiti duniani vinajaribu kutumia damu ya waliopona kama dawa. kuna aina tatu ya dawa zinazochunguzwa: Dawa za kukabiliana na virusi vya ukimwi ambazo zinaathiri moja kwa moja uwezo wa virusi kushamiri mwilini zinaweza kuisaidia kinga – wagonjwa huathirika zaidi kinga zao zinapofanya kazi ya ziada na kusababisha uharibifu mwilini. Lakini ni dawa gani yenye matumaini ya kuzuia virusi vya corona? Dkt Bruce Aylward, kutoka kwa shirika la Afya duniani , alisema kwamba Remdesivir ndio dawa

Wagonjwa Wa Corona Kenya Wafika 320....Ni Baada ya Wengine 17 Kuongezeka

Image
Wizara ya Afya nchini Kenya imesema idadi ya watu walioambukizwa virusi vya Corona sasa imefika 320 baada ya leo kutangaza visa vipya 17, vilivyotokana na sampuli 668 zilizopimwa katika saa 24 zilizopita.Kati ya hao, 12 ni kutoka miji ya Mombasa na 5 Nairobi. Katibu Mkuu  Wizara ya Afya Nchini Kenya  Dkt. Mercy Mwangangi amesema wagonjwa 15 walichukuliwa na maafisa wa afya baada ya kuambatana na wagonjwa waliothibitishwa kuambukizwa awali huku hao 2 wakiwa ndani ya karantini. Wakati huo huo, Kenya pia imethibitisha kwamba wagonjwa 6 wamepona na kuruhusiwa kwenda nyumbani na kufikisha idadi ya waliopona nchini humo kufikia 89.

Paka, Chui, Simba na Mbwa wakutwa na Corona

Image
Katika muendelezo wa matukio ya visa vipya vya maambukizi ya Virusi vya Corona, hali imefikia pabaya hadi hatua ya wanyama kama Paka,Chui, Simba na Mbwa kupata maambukizi ya ugonjwa huo. Katika taarifa mpya iliyotolewa na mtandao wa TMZ nchini Marekani, inathibitisha kuwa kumekuwa na maambukizi ya kwanza kwa wanyama aina ya Paka kupata virusi vya ugonjwa huo. Wataalamu wa wanyama nchini humo wamesema virusi hivyo wamevipata kutoka kwa binadamu ila wanategemea watapona ugonjwa huo. Aidha kupitia ripoti ya ABC, inaeleza kuwa wanyama wengine saba ambao ni Chui aina ya Tiger, na Simba watatu wamekutwa na Virusi vya ugonjwa wa Corona katika Zoo ya Bronx jijini New York nchini Marekani. Siku kadhaa zilizopita Zoo hiyo ilitangaza kisa cha kwanza cha ugonjwa wa Corona kwa Tiger mwenye miaka minne anayejulikana kwa jina la Nadia. Ikumbukwe tu hata jijini Hong Kong nchini China, tayari wameshatangaza visa vya virusi hivyo vya Corona kwenda kwa wanyama aina ya Mbwa ambavyo sababu yake imetokea kw

Trump Aagiza Jeshi la Marekani Kuzilipua Boti za Iran

Image
RAIS wa Marekani, Donald Trump ameliagiza Jeshi la Maji la nchi hiyo (Navy) kuzishambulia na kuziharibu kabisa boti za kivita za Iran pamoja na silaha zake iwapo zinasumbua meli za Marekani na kuongeza usumbufu huko Tehran. Trump ametoa maagizo hayo leo Jumatano, Aprili 22, 2020 ikiwa ni wiki moja baada ya meli 11 za silaha za Kikosi cha  Iran cha Ulinzi (Iran’s Islamic Revolutionary Guard Corps Navy – IRGCN) kupata matatizo ndani ya bahari karibu na meli za Marekani. “Nimeliagiza Jeshi la Majini la Marekani kuzilipua na kuziharibu meli zote za Iran zenye silaha ambazo,” Trump ameandika katika akaunti yake ya Twitter baada ya Iran kurusha satelite yake ya kwanza ya kijeshi angani. Satellite hiyo imepewa jina la Nour, ambapo maana yake ni mwanga imerushwa kutoka katika kituo cha Qassed katika Jangwa la Markazi na kuizunguka dunia katika umbali wa maili (sawa na kilomita 424.867) huku Iran ikijivunia mafanikio hayo makubwa katika jeshi lake. “Satellite yetu ya kwanza imerushwa vizuri na

Iran Yaendelea Kuitisha Marekani Yarusha Setalaiti ya Kijeshi Angani

Image
JESHI la walinzi wa kimapinduzi nchini Iran limesema limepeleka setalaiti yake ya kwanza ya kijeshi katika mzunguko wa dunia. Wataalamu wamesema Iran imezindua kile walichokiita mpango wa siri wa safari za anga za juu ambao unaanza wakati kukiweko mivutano baina ya nchi hiyo na Marekani. Hata hivyo, hakuna taarifa iliyotolewa mara moja na chombo huru kuthibitisha kurushwa kwa setalaiti hiyo ambayo jeshi la ulinzi wa kimapinduzi limeiita ‘Nuru”. Wizara ya mambo ya ulinzi ya Marekani, Pentagon, ambayo imekuwa ikisisitiza kwamba hatua kama hiyo ya kurusha setalaiti inaisogeza mbele Iran katika mpango wake wa kutengeneza makombora ya masafa marefu, haijatoa taarifa yoyote.

Watoto Wachanga 8 Wakutwa na Virusi vya Corona Japan

Image
Watoto wachanga wanane katika kituo kimoja cha malezi nchini Japan wamekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya mhudumu mmoja wa kituo hicho kupata maambukizi. Hospitali kuu ya Saiseikai mjini Tokyo ambayo inakisimamia kituo hicho imesema watoto hao walioambukizwa wamelazwa hospitali wakati wengine 21 wamegundulika hawana virusi na wanaendelea kufuatiliwa. Kituo hicho ni cha watoto yatima au watoto waliotenganishwa na wazazi wao kutokana na sababu za uwezekano wa kunyanyaswa au kutelekezwa.  Bila ya kutowa maelezo mengi hospitali hiyo imetowa taarifa ikisema mhudumu wa kituo hicho alikutwa na maambukizi Aprili 16 na kusababisha kufanyika maamuzi ya kuwapima watoto wote

Mganga wa Kienyeji, Amekutwa Akiwa Amejinyonga na Kuacha Ujumbe wa Kuomba Msamaha Kwa Mizimu

Image
Katika hali isiyo ya kawaida mkazi mmoja wa mkoani Njombe aliyetambulika kwa jina la Kaido Mfilinga (30) aliedaiwa kuwa ni mganga wa kienyeji, amekutwa akiwa amejinyonga na kuacha ujumbe wa maandishi wa kuomba msamaha kwa mizimu. Inaelezwa kuwa mganga huyo amejinyonga baada ya kukiuka masharti ya mganga aliedaiwa kumpa kibuyu ambacho kinatajwa kuwa ndicho kimepelekea kifo chake. Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe, Hamis Issah amesema baada ya polisi kuwasili eneo la tukio wameukuta mwili wa marehemu pamoja na ujumbe wa maandishi auliouacha kabla ya kuchukua hatua hiyo.
Image
Serikali ya Jamhuri ya Kenya imeandaa mpango maalum wa kuwapa ruzuku watu wenye mahitaji maalum walio kwenye hatari zaidi, walioathirika zaidi na mlipuko wa virusi vipya vya corona (covid-19). Wizara ya Kazi imeandaa mpango huo kupitia mfuko maalum na wataanza kutoa fungu hilo katika kaunti nne zilizoathirika zaidi. Taarifa ya wizara hiyo imetaja Nairobi, Kwale, Kilifi na Mombasa ambazo kwa sehemu nyingi watu wamezuiliwa majumbani au kukataza mizunguko. Rais Uhuru Kenyatta alipiga marufuku mizunguko katika maeneo mbalimbali nchini humo, hususan katika kaunti hizo nne kwa siku 21, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kupambana na kusambaa kwa virusi vya corona. Wizara hiyo imesema kuwa inaendelea kutambua na kuchambua waliothirika zaidi ambao pia ni watu wenye mahitaji maalum walio kwenye hatari zaidi. Pia, maeneo yaliyoathirika zaidi ili kufanikisha mchakato wa kutoa mafungu hayo. “Lengo ni kuanza na kaunti ambazo zimeathirika zaidi kabla hatujaingia kwenye kaunti zote 47,” alisema Simon Che

Unaambiwa Siku Hii Dunia itaponea Chupuchupu Kugongana na Kimondo

Image
Jumatano ya April 29 mwaka huu, dunia itaponea chupuchupu kugongana na kimondo kilichopewa jina Asteroid (52768) OR2 1998 chenye kipenyo cha kilomita 4.1 kilichogunduliwa mara ya kwanza 24 July mwaka 1998 na shirika la utafiti wa masuala ya anga la Marekani (NASA). Tangu kugunduliwa kwake kimondo OR 1998 kimekuwa kikiikaribia dunia mara kadhaa kutokana na njia yake (orbit) kukaribiana na orbit ya dunia. Mwaka 2004 kilikaribia kwa umbali wa maili milioni 4.5 kutoka uso wa dunia. Kimondo hicho kinachozunguka kwa spidi ya maili 19,461 sawa na kilomita 31,319 kwa saa au kilometa 8.7 kwa sekunde kimetajwa kuwa hatari zaidi kati ya vimondo vilivyopo angani (most hazardous asteroid on space) na kinaweza kusababisha madhara makubwa kama kitagongana na dunia. Hata hivyo hakiwezi kugongana dunia kwa sasa. April 29 kitaikaribia dunia lakini kitapita umbali wa maili 3.7 milioni sawa na kilomita milioni 6 kutoka dunia ilipo. Mwaka 2031 kitapita mbali zaidi (kilomita milioni 19) kutoka uso wa dunia

JE Wajua Wanaume Waliochelewa Kuoa Wana Msongo wa Mawazo Kuliko Wanawake?

Image
Kuna utafiti nilikuwa nafanya baada ya kufwatilia baada ya kuona topic nyingi zinazowasema single mother's na wanawake waliofika miaka 30s bila kuolewa. Nilichokigundua; 1. Wanawake waliochelewa kuolewa na na single mother wengi wana amani ya moyo kuliko wanaume waliochelewa kuowa na single dads ndomana awaishi kujaza JF topic za kuwazungumzia wanawake hiyo yote nikujipa moyo ili kupunguza maumivu. 2. Wanaume wengi waliochelewa kuoa mpaka kufika miaka 35 na kuendelea wengi walitegemea kuchelewa kuoa kutawafanya wawe na pesa na maisha mazuri lakini imekuwa tofauti wengi wamefika umri huo wakiwa hawana kitu tofauti na wenzao waliooa mapema wana faraja ambayo ni watoto na wengine wamepata baraka maisha yamewanyookea,asila za kukosa vyote vinawatesa wanajikuta na asila muda wrote poleni kwa hilo. 3. Wanaume wengi waliochelewa kuoa wanatabia zisizovumilika bila kusahau maneno mengi bila vitendo ujuaji mwingi na dharau kwa wanawake wanasahau walizaliwa na mwanamke poleni, mwanamke yoyote

Rais wa Sierra Leone ajiweka Karantini, mlinzi wake aambukizwa Corona

Image
Rais wa Sierra Leone Julius Maada Bio amejiweka Karantini kwa siku 14 baada ya mlinzi wake kubainika kuwa na maambukizi ya virusi vya Corrna. Msemaji wa ofisi ya rais amewaambiwa waandishi wa habari kuwa rais wao ana afya njema lakini atakuwa akifanya kazi zake akiwa nyumbani na hakuna mwanafamilia yake aliye athirika na virusi hivyo hadi sasa. Katika ukurasa wake wa Twitter rais Bio ameandika ” Serikali yangu itaendelea kuwa na uwazi kwa wananchi ambao wanatakiwa kuendelea kujikinga kwa kufuata maelekezo yote” Nchi ya Sierra Leone hadi kufika siku ya leo ina visa vya wagonjwa 43 wa covid 19, sita wamepona na hainavifo.

WAFAHAMU Viumbe Wanaopatikana nje ya Sayari yetu

Image
Wataalamu wa masuala ya sayansi wanaotafuta maisha nje ya sayari hii, katika anga za juu watahitajika kusubiri zaidi, kwani kuna dalili ya uwepo wa viumbe katika anga za juu wajulikanao kama Aliens. Mradi wa kutafuta viumbe hao una gharama za zaidi ya dola milioni 100, lakini bado mpaka sasa bado haujapata chochote tangu uzinduliwe,mwaka mmoja uliopita. Shughuli ya kutafuta viumbe hao wa ajabu zinafanywa kwa kutumia darubini kubwa zaidi ambayo inasikiliza dalili yoyote ya kuwepo kwa viumbe aina ya ‘Aliens’ na wengineo. Darubini hiyo iliyopo West Virginia, Marekani, ni moja ya darubini zenye nguvu zaidi duniani, zenye uwezo wa kutafuta dalili za kuwepo kwa teknolojia ambayo iliundwa na viumbe vilivyo nje ya sayari ya dunia. Mwaka uliopita mradi huo ulifuatilia nyota lilioenda kwa jina Tabby, ambayo ilikuwa na tabia iliyosababisha watu kufikiri kuwa ilikuwa na viumbe vyenye maisha ndani yake.

Kim Jong Ameenda Kusikojulikana Kujitibu- Ikulu ya Korea Kusini Yafunguka

Image
Serikali ya Korea Kusini imesema kuwa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un anaonekana kuendelea kuongoza shughuli za serikali kama kawaida, baada ya uvumi usio na uthibitisho kusema kuwa yuko katika hali dhaifu baada ya kufanyiwa upasuaji.  Ikulu ya Korea Kusini imesema hakuna tukio lolote lisilo la kawaida ambalo limegundulika Korea Kaskazini na kuwa haina habari yoyote kuhusu uvumi huo kuhusu afya ya Kim.  Ikulu ya Korea Kusini imesema Kim anaaminika kuwa katika eneo lisilojulikana nje ya mji mkuu Pyongyang akiwa na watu wake wa karibu. Katibu wa Baraza la mawaziri la Japan Yoshihide Suda amesema wanafuatilia habari hizo kwa karibu: vumi mara nyingi huibuka kuhusu uongozi wa Korea Kaskazini kwa kuzingatia uhudhuriaji wa hafla muhimu za serikali.  Kim, mwenye umri wa miaka 36, hakuhudhuria sherehe ya marehemu babu yake na muanzilishi wa taifa Kim Il Sung mnamo Aprili 15, ambayo ni sikukuu muhimu kabisa ya nchi hiyo.

Corona Yamchanganya DONALD Trump...Vifo Vyaongezeka Aamua Kuchukua Maamuzi Haya Magumu

Image
Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na maambukizi ya virusi vya corona nchini Marekani imepindukia 42,518. Vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti kuwa, idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini humo imefikia 792,938  na kwamba 72,389 miongoni mwao wamepona Kwa sasa Marekani inashika nafasi ya kwanza duniani kwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya watu walioambukizwa virusi vya corona na vilevile kwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya wahanga wa virusi hivyo. Kutokana na hali mbaya iliyosababishwa na ugonjwa wa Covid-19, kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya Marekani Rais wa Nchi hiyo Donald Trump ametangaza mkakati wa  "kulinda ajira" za Wamarekani. "Kwa kuzingatia shambulio la adui asiyeonekana, na kutokana na haja ya kulinda ajira za raia wetu wakuu wa Marekani, nitasaini agizo la rais la kusitisha kwa muda zoezi la kupokea wahamiaji nchini Marekani, "Trump ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter. Mapema mwezi wa Januari, alizuia safari zozote kwenda C

Davido Kathibitisha Mchumba wake Kapona Corona

Image
Mwimbaji Star kutokea Nigeria Davido amethibitisha tena kuwa mchumba wake Chioma aliyekutwa  na virusi vya corona amepona baada ya kufanyiwa vipimo mara mbili. Kama utakumbuka hapo awali Mchumba wa Davido ( Chioma ) alichukuliwa vipimo March 25 na kugundulika kuwa alikuwa amepata maambukizi kisha akatengwa kwaajili ya uangalizi zaidi. Baada ya siku 25 kupita Davido amekuja kuthibitisha kuwa mpenzi wake Chioma amepimwa na kukutwa hana tena ugonjwa wa Corona.

SEHEMU Tano za Mwili Wako Ambazo Hupaswi Kuzigusa kwa Mkono..!!!

Image
Mikono yetu ni kiungo muhimu sana kinachoweza kupapasa karibu asilimia 99 ya miili yetu bila shida, lakini tafiti zimeonesha kuwa ni hatari zaidi kwa afya yetu kushika sehemu kadhaa hususan sehemu hizi tano. Katika hali ya kushangaza, utafiti uliofanywa na jopo lililoongozwa na Profesa Kelly Reynolds wa Chuo cha Zuckerman College of Public Health kilichoko ndani ya Chuo Kikuu cha Arizona, unataja maeneo hayo ya mwili. Baadhi ya maeneo hayo ni haya yafuatayo: Macho Kama jicho lako halikulazimishi kulishika labda pale unatoa uchafu wa aina yoyote kwa namna inayofaa, hakikisha hauligusi kabisa. Hii ni kwa sababu mikono yetu inabeba mambo bakteria ambao wanaweza kudhuru macho yetu taratibu na kudhurika bila kufahamu haraka. Uso Uso ni sehemu ambayo ni rahisi sana kupeleka mkono mara kwa mara. Ni ngumu sana kuacha kufanya hivyo hususan kwa tunaofanya kazi za kutoa jasho au kutembea sehemu ambazo zinatoa jasho. Pamoja na mambo hayo, wataalam wamebaini kuwa ngozi ya uso ni ngozi ya kipekee na

Wazazi na Jamii, Tusiwanyang'anye Watoto Utoto Wao

Image
Habarini…. Katika hatua za ukuaji wa binadamu, utoto ni hatua ya mwanzo kabisa na ya muhimu katika kipindi cha uhai wa binadamu. Katika utoto wa binadamu ndipo inapojengwa misingi ya namna gani mtu huyo atakuja kuwa akiwa kijana, mtu mzima na hata uzeeni. Japokuwa ni lazima tukiri kuwa katika kila hatua ya ukuaji wa mwanadamu kuna vitu ambavyo vinaweza kuathiri mustakabali wa mtu husika lakini hii haiondoi ukweli wa kuwa utoto ndiyo hatua ya msingi kabisa na yenye nguvu kubwa katika maisha yanayobaki kwa mwanadamu. Katika umri wa utoto ndipo picha halisi ya maisha ya mwanadamu huonekana na ndicho kipindi mwanadamu huwa na fikra zisizongwazongwa na makuu ya dunia. Ni kipindi ambacho binadamu huishi katika amnani yakweli, upendo wa kweli n.k. Kwa kipindi kirefu sana kundi hili la watoto limekuwa likipitiwa na changamoto nyingi ambazo baadaye huja kuwa na madhara makubwa kwa wahusika wenyewe na kwa jamii iliyowazunguka. Madhara haya yanatokana na jamii au wazazi kufanya vitu vya namna Ful

Mambo Matano ya Kawaida Yanayoweza Kuhatarisha Afya Yako Bila Kujigundua..!!!

Image
KUNA baadhi ya mambo ambayo mara nyingi ukiyafanya huwa ni lazima ufupishe maisha yako kwa namna moja au nyingine. Hii yote huwa inatokana na aina ya maisha uliyoyachagua, ambayo huwa ni hatari kwa afya na maisha kwa ujumla. Watu wengi wana tatizo la kuishi maisha ya kujisahau na kufanya vitu ambavyo ni hatari. Haya ni baadhi ya mambo ambayo ukipendelea kuyafanya basi maisha yako yanakuwa hatarini. Kula bila mpangilio Watu wengi huwa wanaishi maisha ya kutojali afya zao. Yapo mambo ambayo ukiyafanya afya yako inakuwa hatarini moja kwa moja hata kama hujasomea udaktari ni rahisi kwako kuyafahamu. Mfano kama unapenda kula vyakula bila mpangilio na vibovu ambavyo havifai, ni lazima afya yako itakuwa hatarini. Lakini si hivyo tu, kama wewe ni mvutaji mzuri wa sigara au unakunywa pombe kupita kiasi bila utaratibu, ni rahisi mno kwako kuweza kuharibia afya yako na hivyo kuyafanya maisha yako kuwa hatarini. Maisha ya upweke Hakuna kitu hatari katika maisha yako kama kuamua kuishi wewe kama we

Chama Cha Wapangaji KENYA Chawataka Wapangaji Kutokulipa Kodi Kipindi Hichi cha Corona

Image
Coronavirus: Chama cha wenye nyumba nchini Kenya kimewataka wapangaji nchini humo wasilipe kodi kwasasa hadi hapo itakapotangazwa tena ili kuwaondolea wapangaji mzigo ulio nje ya uwezo wao sababu ya uchumi kutikisika kwa biashara kufungwa - Chama hicho kimewataka baadhi ya wenye nyumba kutothubutu kuwanyanyasa wapangaji wao kisa kodi, kutowakatia umeme wala maji ili kuonesha ubinadamu katika Kipindi hiki kigumu - Ben Liyai katibu mkuu wa chama hicho amesema mwenye nyumba akiwa na tatizo au la kuongea basi awasiliane na chama sio kuwabughudhi wapangaji. Chama kimesema updates itatolewa kuhusu kuendelea kulipa kodi hapo Rais Uhuru Kenyatta atakapotangaza kuwa biashara ziendelee kama kawaida

Fake man! Tanasha ampiga Diamond Kijembe kwa ‘kujifanya’ anamsapoti Zuchu

Image
Hii ni baada ya Tanasha  kuona Diamond akisema kwamba anamsaidia pakubwa sana msanii mpya wa WCB Zuchu  kupitia posti yake kwenye Instagram. Diamond  aliandika hivi; “This is more than love and it proves women can do it if they are empowered…on behalf of Zuchu i would like to thank you all for the love and major support.” Katika posti nyingine  aliandika ; “Kupitia wewe na Sapoti ya Wadau na Mashabiki, tukabadilishe mtazamo na fikra potofu na ulimwengu wajue kuwa mwanamke ukimuwezesha anaweza.“ Mama huyo wa mtoto mmoja  alimuita baba ya mtoto wake  kama ‘“waste man”  na “fake”  kwa kujifanya kama mpiganiaji wa maslahi  na haki za  wanawake Kwake Tanasha haelewi jinsi mtu kama Diamond anaweza kuwa na unafiki wa kujifanya kuwajali wanawake ilhali vitendo vyake  vinakizana na ahadi anazotoa “It makes me sick to see waste men preaching women empowerment. Fake always gets exposed eventually. Like fake bags, fake jewellery, it will last a couple of days, maybe weeks or months but eventually,

Marekani Waandamana Kupinga Marufuku Ya Kutotoka Nje Kisa Corona

Image
Waandamanaji nchini Marekani wameingia mitaani katika majimbo kadhaa wakishinikiza magavana kufungua uchumi wa majimbo yao kwa kuondosha amri ya kutokutoka nje. Marufuku hiyo ya kutokutoka nje imewekwa katika majimbo yote ya Marekani ili kudhibiti kusambaa kwa janga la virusi vya corona, hali iliyotikisa uchumi wa taifa hilo kubwa zaidi kiuchumi duniani. Maaandamano yameripotiwa jana Jumapili katika majimbo ya Arizona, Colorado, Montana na Washington, huku mwendelezo wa maandamano hayo ukitarajiwa leo Jumatatu. Hasira juu ya marufuku hizo imeongezeka nchini humo huku waandamanaji wakitaka masharti yalegezwe. Rais wa Marekani Donald Trump ameonesha dalili za kukubaliana na maandamano hayo. Kwa sasa, Marekani ndiyo kitovu cha janga la ugonjwa wa virusi vya corona duniani. Hata hivyo kuna dalili kuwa maambukizi yanafikia kileleni nchini humo na kasi ya maambukizi kuanza kushuka katika baadhi ya majimbo. -BBC

Kwa Haya Anayonifanyia Shemeji Sijui Ananitaka Au Mawazo Yangu tu

Image
Wadau nipo nyumbani kwa takribani mwezi sasa baada ya kumaliza mkataba wangu na kampuni flani.sasa hapa nyumbani ninaishi na wife na kidi wangu wa miaka 3..na nimekuta wife kamleta mdogo wake wa kike ambaye amemaliza chuo mwaka jana anasubiria ajira,sasa wadau wife wangu ni mfanyakazi so mida mwingi anashinda job,mimi nipo tu home na shemeji yangu,kid anapelekwa shule asubuh mpaka jioni.shem huyu wadau ni mrembo sana ana figure matata sana na ni mzuri kwa kweli.. Yani mitihani ninayoipata ni mikubwa sana..mana nguo anazo vaa zinaonenya umbo lake namba 8 lilivyo,juzi asubuh nilikuwa nimelala akagonga chumbani kwangu anatafuta kitu wakati kavaa khanga tu.jamani naombeni ushauri wenu nifanyaje?maana uzalendo unaelekea kunishinda asee.maana sasa imefika wakati naliota umbo lake na uzuri wake nimechanganyikiwa.naombeni ushauri weni wadau. Asanteni

Dodo ya Alikiba Yaweka Rekodi Hii Youtube

Image
HABARI ikufi kie kuwa, Msanii wa Bongo Fleva, Alikiba, ameweka rekodi ya ngoma yake ya Dodo kukaa Youtube Trending kwa muda mrefu kuzidi ngoma yoyote iliyotoka mwaka huu.Hadi kufi kia jana Ijumaa, Alikiba alifi kisha siku ya tisa kukaa Youtube Trending kwa Tanzania tangu kutoka kwa ngoma hiyo Aprili 8, mwaka huu. Ngoma kama Gere ya Tanasha na Diamond, Jeje ya Diamond nazo zilikaa kwa zaidi ya siku nne kwenye trending, lakini hazikuwa muda mrefu kuishinda Dodo ya Alikiba. Wadau mbalimbali wa muziki wamesema hii ni rekodi kubwa zaidi kwa Alikiba kwa miaka ya hivi karibuni, kwani kazi zake nyingi alizotoa hazikuwahi kukaa kwenye trending kwa muda mrefu kama ilivyo kwa Dodo. Mwenyewe alipoulizwa sababu ya ngoma hiyo kufanya vizuri zaidi alisema kuwa: “Mashairi mazuri, biti na melodi ni vitu ambavyo vinaibeba sana kazi hii, lakini pia kazi nzuri ambayo Mobeto ameifanya akiwa kama Video Vixen inashawishi watu kuitazama kwa wingi zaidi. Stori na Issa Liponda | Championi

Washukiwa 44 wa kundi la Boko Haram wakutwa wamefariki katika jela Chad

Image
Kundi la watuhumiwa 44 wa wapiganaji wa jihadi wa Boko Haram wamepatikana wakiwa wamefariki wakiwa jela katika mji mkuu wa Chad N'Djamena jana, shirika la habari la AFP limeripoti , likinukuu maafisa wa polisi. Waliofariki ni miongoni mwa washukiwa wa kundi la wapiganaji wa jihadi 58 ambao walikamatwa katika operesheni ya hivi karibuni dhidi ya Boko Haram iliyofanyika karibu na ziwa Chad, mwendesha mashitaka wa nchi hiyo Youssouf Tom alisema katika televisheni ya taifa. Alisema kuwa kufuatia mapigano katika eneo la ziwa Chad, wanachama 58 wa kundi la Boko Haram walikamatwa na kupelekwa N'Djamena kwa ajili ya mahojiano na uchunguzi.Tom alisema kuwa asubuhi ya Alhamis , wafanyakazi wa jela waliwaambia kuwa wafungwa 44 wamekutwa wamefariki katika chumba walimofungiwa. Uchunguzi wa kufahamu vipi watu hao walifariki unaendelea, mwendesha mashitaka alisema. Uchunguzi wa miili minne ya watu waliofariki umekwisha fanyika. Maafisa wa jela wanashuku kwamba wafungwa hao walijidunga kitu h

Viatu Vimethibitika Kubeba Virusi vya Corona

Image
Watumishi wa afya wametakiwa kuhakikisha wanatakasa kwanza sole za viatu vyao kabla hawajaondoka kwenye vituo vya afya vinavyohudumia wagonjwa wa COVID-19 ili kuilinda jamii na famila zao kwani Sehemu hii ya viatu imebainika kuwa ni nyenzo muhimu ya kubeba virusi vya corona. Sampuli mbalimbali zilizokusanywa kwenye hospitali ya Huoshenshan inayopatikana Wuhan-China ambacho ndicho kitovu kikuu cha janga hili imebainisha hayo. Katika kusaidia kusambaa kwa virusi hivyo, Barakoa zote zilizotumiwa na wagonjwa pamoja na watu walio kwenye vituo vyote vya kutibu corona zimetakiwa kutakaswa kwanza kabla hazijatupwa. Sababu za kufanya hivyo nikuwa, zinabeba majimaji mengi yenye virusi hawa ambao wanaweza kusambaa kwenye vitu vingine hivyo kuongeza kasi ya maambukizi. Wanajeshi waambukizwa Corona kwenye meli ya kivita Halikadharika watumishi wa afya wanapaswa kutakasa mikono yao mara moja baada tu ya kutoa huduma kwa wagonjwa.

Soma Hadi Mwisho...Mungu Wetu Anaweza Tukiomba na Kusali...

Image
MAMA mmoja aligunduliwa kuwa na Virus Vya Corona, alichukuliwa hadi kwenye hospital ya wagonjwa wa ugonjwa huo unaendelea kuitesa dunia. mama huyo baada ya kufikishwa hospital madaktar walimfanyia vipimo kwa mara nyingine, jambo la kusitikisha ni kwamba, madaktari wale waligundua mama yule hana uwezekano wa kupona, kwani corona ilishamuathiri kwa kiwango kikubwa sana. ana saa4 za kuvuta pumzi, namaanisha amebakiza masaa 4 apoteze maisha,kwani licha ya kuwa na corona, pia alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari ulimpoteze kinga nyingi za mwili. mama huyo alianza kulia kwa uchungu, ni baada kuambiwa hana nafasi tena ya kuendelea kutembea juu ya  dunia, madaktar walimuacha  hawakumpa dawa wala kumuhudumia kwa chochote, walimtelekeza mama huyo na kwenda kuhudumia wagonjwa wengine wenye uwezekano wa kupona huku wakisubiri mama huyo afe waje kutoa mwili wake kitanda alichokalia kiwekwe mgonjwa mwingine, kwani wagonjwa waliokuwa wanaletwa hospital hapo ni wengi mno. "Sina matumaini y